Basa Ze-great
Member
- Dec 20, 2016
- 41
- 33
Pumba kabisaLinalo maslahi sababu watu wanacheck integrity ya viongozi katika utii wa sheria na viapo vyao wenyewe, kuna mawaziri wamesema wakirudi likizo kuna watu watawakamata kutokana na ushiriki wao wa mapenzi ya jinsi moja. Tunaonekana wananchi ndio wapiga dili, wezi, wala unga, wange-se, wasagaji, wala rushwa, wauza unga, wamegushi vyeti, hawatii sheria za barabarani, wavivu, wazembe, wajinga wapumbavu, wenye mikosi, mashetani n.k lakini viongozi wetu na wateule wao ni malaika, wasafi, watakatifu, waadilifu, wachapakazi, wenye uchungu na nchi.
Sasa wenye kuhoji hizi sifa walizojitwika watawala ni watu wema manake wengine wametoka huku kwetu tunawajua na records zao tunazo wanatustua walivyogeuka ghafla kuwa malaika wakati tunawajua ni binadamu kama sisi na wanayomapungufu yao sasa wasiyaone ya kwetu tu sisi wananchi na kuyatumia kutuumiza wakiachiwa wataumiza wengi sababu wameshaumiza watu wengi.
wewe usiyetaka kuhoji ndio medula yako tunamashaka nayo ilipo labda unaikalia.