Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,469
- 45,765
Mbona mama Zakhia yupo single baada ya Mme wake kufariki
sijui msaada tafadhaliSalim Ahmed Salim wakati anateuliwa kuwa balozi, unajuwa kilitokea nini kuhusu kuowa..??
hana mume sasa ndio iweje
Huu ni upuuzi wa hali ya juu. Hivi tumemaliza yote mpaka kuyaendea hayo? Je, kama hana mume! Maana swali lina uliza, mume ni nani? Hana sasa.
Wewe ndo ubongo ugoko. Siyo makamu wa raisi jifunze kiswahiliKuna wakati nawaza kwamba labda kuna baadhi ya watu ile medulla oblongata imekaa kwenye ugoko badala ya kichwani.
Hili la kuhoji mume wa makamu wa raisi lina maslahi gani kwa Taifa!?
Kuna mengi ya kuandika kuhusu mustakabali wa nchi siyo huu upumbavu
Mustakabali ni vyetiNataka uniambie suala hili lina umuhimu gani kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi hii. Mambo ya umri wangu sidhani kama yana mantiki hapa ndugu
Mawazo mfu. Mnapenda sana kuheshimiwa lakini utu na heshima za wengine hazina maana kwenu.
PovuWewe ndo ubongo ugoko. Siyo makamu wa raisi jifunze kiswahili
Huo ni uzushi na uchonganishi. Km. Angekuwa na wivu angemfunika. Nsjua uwezo wske nfio masna alimchagua. Hebu acheni fitina hazijengi.Para ya kwanza 'pamoja' ya pili sipo
Kwsni di ni stahiki xilizoakalishwa. Hivyo kumjua au kutomjua stahiki hazibadiliki.JE WAJUA kuwa mume wa makamu wa rais ni kiongozi pia???
analindwa kwa kutumia kodi za wananchi??
anatembelea gari ambazo zimenunuliwa kwa kodi ya wananchi??
muda wao ukiisha atalindwa kwa kutumia kodi ya wananchi???
mama Samia akitoka nje ya nchi na yeye pia huenda but nauli zao ni kodi ya wananchi???
Anabeba majukumu yote kikatiba pale Magufuli ki binaadamu anapokuwa na udhuru wa aina yoyote e.g. kifo, maradhi, safari etc .
Unasahau yule mama wa Malawi aliupataje u Rais? Na ha Moi kule Kenya ?
Kiongozi mkubwa kama huyo lazima mambo yake yawe wazi . Si dhambi kujua kikatiba huyo ni Rais mtarajiwa