Raia Tanzania: Mume wa Makamu wa Rais ni nani? Wa watangulizi wake wanajulikana

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
20170224_041629.jpg


Mbona ana mume bandugu?Hili gazeti haliwezi kufuatilia na kujua mpaka likauliza hivi?
Anaitwa Bwana Hafidh Ameir,hata siku ile ya kampeni ktk mkutano mkubwa kwenye uwanja wa Demokrasia Znz(alitambulishwa)

Kama sio mtu wa kukaa mbele ya camera si ajabu,maana hawezi kuwa anaenda kila mkewe anapokwenda!!

image-jpeg.473959



image-jpeg.473960
 
Kuna wakati nawaza kwamba labda kuna baadhi ya watu ile medulla oblongata imekaa kwenye ugoko badala ya kichwani.
Hili la kuhoji mume wa makamu wa raisi lina maslahi gani kwa Taifa!?
Kuna mengi ya kuandika kuhusu mustakabali wa nchi siyo huu upumbavu
Hujui kua suala LA ndoa huwa very hot kwa kiongozi wa kisiasa? Una umri gani weye?
 
Back
Top Bottom