Raia Mwema: CCM Haijui Ifanye nini na Lowassa

Raia Mwema: CCM Haijui Ifanye nini na Lowassa

Taratibu role model langu mgombea urais huyo au na wewe umejiunga kwenye teams?

Mie sina team, CCM hata akiwekwa mwanasesere ndiye atakuwa Rais.

Haikuwa Nyerere kwa miaka 27 na akaiuwa nchi mpaka ikawa masikini wa mwisho duniani itakuwa Lowassa? ambae hata hatujuwi kama atafika wakati wa kugombea Urais!
 
Mie sina team, CCM hata akiwekwa mwanasesere ndiye atakuwa Rais.

Haikuwa Nyerere kwa miaka 27 na akaiuwa nchi mpaka ikawa masikini wa mwisho duniani itakuwa Lowassa? ambae hata hatujuwi kama atafika wakati wa kugombea Urais!

Nime-like mistari mitatu ya juu alafu nime-hate iliyobaki mwisho usiku mwema.
 
Zimeanza kukushinda wewe uliyeanza kurusha maneno ya kishenzi...

Tuendelee si unayataka? Mbona povu??

Jee, una lipi jipya zaidi ya niliyokujibu?

Ulilianzisha nikakumaliza, sasa una haha kama nani vile? usijifanye umesahau.
 
Jee, una lipi jipya zaidi ya niliyokujibu?

Ulilianzisha nikakumaliza, sasa una haha kama nani vile? usijifanye umesahau.

Miye nataka kuja kuchukua nafasi ya gozi maana Leo unaonekana Una stress Sana!!!

Anahaha mkwere mwenzio mpaka anakosa usingizi!!!
 
Lowasa ni sehemu ya matatizo ya nchi hii hivyo kumchagua ni kutia chumvi kwenye kidonda.

Chumvi ni zaidi ya dawa,wadudu wote watakufa na kidonda kitapona mara moja.
 
Huwa nafaham kuwa mara nyingi huwa unakwazika na kukasirika Sijawahi kukutarajia kwamba unaweza Ku panic na kuishia kutoa lugha kama hii.
Kama humjui FaizaFoxy matusi ndiyo chakula yake, unapojadili naye jiandae kwa matusi mengine ya nguoni.
 
Last edited by a moderator:
Lowassa hakujiuzuru urais kwasabau ya "Tatizo ni Uwazri Mkuu" Hiyo ilikuwa ni light statementya kuonesha hasira zake kwa Mwakyembe na Sitta.

Lakini Lowassa alijiuzuru uwaziri Mkuu kuiepusha serikali ya Kikwete isianguke, i.e. alifanya hivyo kumuhifadhi rafiki yake ambaye hawakukutana barabarani.

Kinachomuuzi na kumuumiza sana Lowassa ni pale rafiki yake huyo ambaye hawakukutana barabarani kumtosa. Kwanza amekiuka makubaliano yao ya Boyz II men ya kuachiana ufalme.

Lakini hata pale Lowassa alipokuwa mbuzi wa kafara kumuhifadhi rafiki yake, serikali yake isianguke bado rafiki yake huyo ameonekana kutupilia mbali makubaliano yao ya Boyz II men.

Ndipo Lowassa sasa amesema ENOUGH IS ENOUGH. It is me or CCM loose the next general election. Hali hii huwa waingereza wanasema it is a catch 22 to CCM and JK

Wee ni mutu umenena ipasavyo bila chembe ya hila,huo ndio ukweli usiotangazwa na wamchukiao LOWASSA.
 
Kamati kuu ya CCM
1. JK Kikwete
2. Dr Sheni
3. Philip Mangula
4. Mizengo Linda
5. Seif Ali Iddi
6. Anna Makinda
7. Pandu Kificho
8. Vuai Ali Vuai
9. Combred Kinana
10. Nape Mnauye
11. Mohammed Seif Khatibu
12. Zakhia Mechi
13. Asha Rose Migiro
14. Sophia Simba
15. Sadipha Abdallah
16, Jenister Mhagama
17. William Lukuvi
18. Steven Wasira
19. Emmanuel Mchimbi
20. Pindi Mchana
21. Jerry Slaa
22. Adam Kimbisa
23. Vuai Nahodha
24. Hussein Mwinyi
25. Maua Daftari
26. Samia Suluhu
27. Salimu Ahmed Salim
28. Makame Mbarawa


Hiyo ndio List ya kamati kuu ya CCM. Je nani mwenye ujasiri wa kumpitisha Lowassa kugombea urais, kati ya hapo nani yupo tayari kuwasaliti Watanzania?
Tuachane na Mafisadi. Tanzania kwanza

cc Pasco Ritz FaizaFoxy ocampo four Lizaboni n.k

Lowassa anawangapi humu watakaompa KURA mie naona itapita kwenye hatari kaa NYUMBU KATI YA MIDOMO YA MAMBA.

Swali linalowasumbua ni TUKIMKATA LOWASSA,Chama kitabaki salama?
 
Last edited by a moderator:
JK ndo atabariki kifo cha EL ,Nina imani lowassa siku hizi hamuamini JK
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Endapo walikubaliana ikatokea akamgeuka / ni mbaya sana / lakini ni hulka za watu wa pwani / but i dont think so!
 
Kwa hakika Kikwete kafanya kugombea Urais ni kitu rahisi sana.

Hiyo ndiyo demokrasia at its best ya Kikwete.

Wengi wanashindwa kuelewa kuwa Kikwete ndiye Rais pekee wa Tanzania ambae hajawa "remote controlled" na Nyerere.

Wengi wanashindwa kuelewa kuwa Kikwete ndiye Rais pekee wa Tanzania ambae aligombea Urais kwenye kinyang'anyiro cha CCM na kushindwa kwa mara ya kwanza kwa majungu tu. Ya nani?

Wengi wanashindwa kuelewa kuwa Kikwete ndiye Rais pekee ambae ana CV iliyonyooka na ndefu (kabla ya kuwa Rais) kuliko Marais wote wa Tanzania wa kabla yake.

Wengi wanashindwa kuelewa kuwa Kikwete ndiye Rais pekee ambae hajaburuzwa na yeyote katika utawala wake.

haa haa we na kikwete wako. dah. ungejua jinsi tulivyomchoka usingesema hayo.jk ni rais aliyeshindwa vitu vingi alivyoahidi kuvifanya. na mifano ni mingi mno. jk amaliza aende. tumechoka kuongozwa kisanii
 
Huwa sikisii!

Jaribu uwezavyo hutaweza kuifikia rikodi adhyim ya Kikwete, waunganishe wote wa kabla yake kahafu niambie:

Walijenga shule ngapi (wote kwa pamoja)?

Walijenga vyuo vikuu vingapi (wote kwa pamoja)?

Walijenga zahanati ngapi (wote kwa pamoja)?

Walijenga barabara za lami kilomita ngapi (wote kwa pamoja)?

Tuanze na hayo kabla sijaja na ya utalii na mengineyo.

Pssssss! Usisahau kujumlisha na mkoloni wao.

kiujumla umemtusi jk tusi baya sana. ungejua maana ya hayo uliyoandika.
 
Sijawahi kuona makala ya kikanjanja kama hii.
Problem ya raia mwema ni mtiririko wa makala negative dhidi ya
ya lowassa tangu mwaka jana, so hapa hakuna jipya.

Tupa mbali alama ya ufisadi hiii...! Lowasa ni sawa na mnyama mwenye pembe kwenye alama ya kuzimu...
 
Back
Top Bottom