Raia Mwema: CCM Haijui Ifanye nini na Lowassa

Raia Mwema: CCM Haijui Ifanye nini na Lowassa

Kumpitisha Lowassa ni sawasawa na kumvua nguo Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere hadharani.......bora hata wangevunja muungano hiyo angeelewa
 
DN,
Umenichefua!
Uamuzi wa Lowassa kujiuzulu Uwaziri Mkuu kutokana na kuhusishwa kwake na kuingilia mchakato wa kashfa ya kampuni ya kufua umeme ya Richmond kinyume cha sheria kumeacha ladha chungu kwenye ndimi za wapenzi na mashabiki wake ndani ya CCM (bungeni na nje ya Bunge). Lowassa – kwa maoni ya baadhi ya watu – hakupaswa kujiuzulu Uwaziri Mkuu kwani angeweza kutumia nafasi aliyopewa na Spika Samuel Sitta kujibu hoja kwa hoja madai yaliyotolewa na Kamati Teule ya Bunge. Hakufan





HATA MWINYI ALIJIUZURU halafu akaja kuwa rais
 
Back
Top Bottom