Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,535
- 20,730
Generali Ulimwengu, tunajua msimamo wake, na ni team ya nani..sina haja ya kumwongelea...
Lowassa wa leo alipelekwa kwa Pilato ( JK wa leo ) na wafilisti kwa hasira na kelele, wanaipaaza sauti juu, asulubiwe, asulubiwe...Pilato akasema, mm sioni hatia ya mtu huyu...hana kosa...!!!
Naamini, JK ndilo linalomuuma moyoni, anajua fika, kwa damu na jasho, Lowassa hana hatia, na amempiga tafu kuliko mwana CCM yeyote, hili linamuuma sana JK, na katoa kauli ya wazi, kuwa CCM iache kudhania ikimchagua mgombea atakuwa Rais, hizo nyakati zimepitwa na wakati...lazima CCM imchague mtu anaeuzika ndani na nje ya CCM...na lazima CCM ikubali nyakati zimebadilika...!!!
Hii kauli ni shangwe kwa team Lowassa...inaonyesha JK kasoma upepo wa Lowassa ni mkubwa kuliko kawaida, na moyoni kabisa ndani kwake JK anaona Lowassa hana HATIA...so kuliko CCM ife, heri Lowassa apewe tiketi ya CCM kugombea Urais...!!! ana nguvu kubwa sana...
Na ukifuatilia matukio ya hivi karibuni, baada ya Lowassa kuweka wazi hatoki CCM, yeye ni kada mwaminifu tokea 1977, UKAWA wameyumba sana, na kuanza kutoa matamko ya UOGA NA MARUERUE, KUWEWESEKA, NA KUSEMA CJUI NN na NN...sbb WALITEGEMEA LOWASSA ATOKE CCM aende kwao UKAWA...sasa ngoma imebuma...!!!
So far, the CCM ball is 75% on Lowassa's side... i bet, mtaona NEC itakavyomchagua kwa nguvu ya AJABU...tuwe na subira, tusiandikie mate, wino upo
Lowassa wa leo alipelekwa kwa Pilato ( JK wa leo ) na wafilisti kwa hasira na kelele, wanaipaaza sauti juu, asulubiwe, asulubiwe...Pilato akasema, mm sioni hatia ya mtu huyu...hana kosa...!!!
Naamini, JK ndilo linalomuuma moyoni, anajua fika, kwa damu na jasho, Lowassa hana hatia, na amempiga tafu kuliko mwana CCM yeyote, hili linamuuma sana JK, na katoa kauli ya wazi, kuwa CCM iache kudhania ikimchagua mgombea atakuwa Rais, hizo nyakati zimepitwa na wakati...lazima CCM imchague mtu anaeuzika ndani na nje ya CCM...na lazima CCM ikubali nyakati zimebadilika...!!!
Hii kauli ni shangwe kwa team Lowassa...inaonyesha JK kasoma upepo wa Lowassa ni mkubwa kuliko kawaida, na moyoni kabisa ndani kwake JK anaona Lowassa hana HATIA...so kuliko CCM ife, heri Lowassa apewe tiketi ya CCM kugombea Urais...!!! ana nguvu kubwa sana...
Na ukifuatilia matukio ya hivi karibuni, baada ya Lowassa kuweka wazi hatoki CCM, yeye ni kada mwaminifu tokea 1977, UKAWA wameyumba sana, na kuanza kutoa matamko ya UOGA NA MARUERUE, KUWEWESEKA, NA KUSEMA CJUI NN na NN...sbb WALITEGEMEA LOWASSA ATOKE CCM aende kwao UKAWA...sasa ngoma imebuma...!!!
So far, the CCM ball is 75% on Lowassa's side... i bet, mtaona NEC itakavyomchagua kwa nguvu ya AJABU...tuwe na subira, tusiandikie mate, wino upo