Lau Lowassa angekuwa mkatoriki asingesulubiwa hivi.
mpe angalizo tu asipochaguliwa huyo mume wake je laki-nipesa atajificha wapi?Mkuu Laki Si Pesa,waliamua lini mkuu?Kikao kilifanyika lini na mahali gani?Hebu tukumbushe kidogo!
Kamati kuu ya CCM
1. JK Kikwete
2. Dr Sheni
3. Philip Mangula
4. Mizengo Linda
5. Seif Ali Iddi
6. Anna Makinda
7. Pandu Kificho
8. Vuai Ali Vuai
9. Combred Kinana
10. Nape Mnauye
11. Mohammed Seif Khatibu
12. Zakhia Mechi
13. Asha Rose Migiro
14. Sophia Simba
15. Sadipha Abdallah
16, Jenister Mhagama
17. William Lukuvi
18. Steven Wasira
19. Emmanuel Mchimbi
20. Pindi Mchana
21. Jerry Slaa
22. Adam Kimbisa
23. Vuai Nahodha
24. Hussein Mwinyi
25. Maua Daftari
26. Samia Suluhu
27. Salimu Ahmed Salim
28. Makame Mbarawa
Hiyo ndio List ya kamati kuu ya CCM. Je nani mwenye ujasiri wa kumpitisha Lowassa kugombea urais, kati ya hapo nani yupo tayari kuwasaliti Watanzania?
Tuachane na Mafisadi. Tanzania kwanza
cc Pasco Ritz FaizaFoxy ocampo four Lizaboni n.k
Lowasa ni sehemu ya matatizo ya nchi hii hivyo kumchagua ni kutia chumvi kwenye kidonda.
Tulipokuwa tunasema 5 years ago mlikuwa mnakataa leo kabakisha miezi mitatu mnaanza kukubali, poleni.
Heri kwa CCM mara mia kumuonea kuliko Wakimkubali....kama ni lawama CCm ishapokea lawama za Wanaccm wengi tu...japo ndani ya pazia kama Raia wangeambiwa matendo ya maovu yake yake, kuwa fulani kabla ya kusomea taarifa ya madudu yake aliyoyatenda kinyume na kuinanga CCM, alishikwa na shinikizo la ghafra ...wako wengi tu wenye sura za kondoo kumbe ndani chui...Kwa CCM Lowassa ni mtu wa kutatiza; wakimkubali wataonekana wamemuogopa wakimkata wataonekana wanamuonea...
kuna mtu anashindwa kupanda ndege na kufunga mkanda?wote wameona kama jk kaweza basi hata kigwangala anaweza,utitiri wa watangaza nia ni tusi kubwa kwa kikwete.Hiyo ni sifa kubwa sana kwa Kikwete.
Sasa wanaoona Urais ni mwepesi kuupata wacha waingie kwenye kinyang'anyiro waelewe huo urahisi wake.
Kwani wewe ni wazir Wa mambo ya nje???
Ustaarabu ujenga ...matumizi ya lugha za kashifa kwa wengine sio kitu chema...cool mode..ufinyu wa fikra sasa unaweza kusomeka japo watu wakaona mjadala.Generali Ulimwengu, tunajua msimamo wake, na ni team ya nani..sina haja ya kumwongelea...
Lowassa wa leo alipelekwa kwa Pilato ( JK wa leo ) na wafilisti kwa hasira na kelele, wanaipaaza sauti juu, asulubiwe, asulubiwe...Pilato akasema, mm sioni hatia ya mtu huyu...hana kosa...!!!
Naamini, JK ndilo linalomuuma moyoni, anajua fika, kwa damu na jasho, Lowassa hana hatia, na amempiga tafu kuliko mwana CCM yeyote, hili linamuuma sana JK, na katoa kauli ya wazi, kuwa CCM iache kudhania ikimchagua mgombea atakuwa Rais, hizo nyakati zimepitwa na wakati...lazima CCM imchague mtu anaeuzika ndani na nje ya CCM...na lazima CCM ikubali nyakati zimebadilika...!!!
Hii kauli ni shangwe kwa team Lowassa...inaonyesha JK kasoma upepo wa Lowassa ni mkubwa kuliko kawaida, na moyoni kabisa ndani kwake JK anaona Lowassa hana HATIA...so kuliko CCM ife, heri Lowassa apewe tiketi ya CCM kugombea Urais...!!! ana nguvu kubwa sana...
Na ukifuatilia matukio ya hivi karibuni, baada ya Lowassa kuweka wazi hatoki CCM, yeye ni kada mwaminifu tokea 1977, UKAWA wameyumba sana, na kuanza kutoa matamko ya UOGA NA MARUERUE, KUWEWESEKA, NA KUSEMA CJUI NN na NN...sbb WALITEGEMEA LOWASSA ATOKE CCM aende kwao UKAWA...sasa ngoma imebuma...!!!
So far, the CCM ball is 75% on Lowassa's side... i bet, mtaona NEC itakavyomchagua kwa nguvu ya AJABU...tuwe na subira, tusiandikie mate, wino upo
kuna mtu anashindwa kupanda ndege na kufunga mkanda?wote wameona kama jk kaweza basi hata kigwangala anaweza,utitiri wa watangaza nia ni tusi kubwa kwa kikwete.
Kamati kuu ya CCM
1. JK Kikwete
2. Dr Sheni
3. Philip Mangula
4. Mizengo Linda
5. Seif Ali Iddi
6. Anna Makinda
7. Pandu Kificho
8. Vuai Ali Vuai
9. Combred Kinana
10. Nape Mnauye
11. Mohammed Seif Khatibu
12. Zakhia Mechi
13. Asha Rose Migiro
14. Sophia Simba
15. Sadipha Abdallah
16, Jenister Mhagama
17. William Lukuvi
18. Steven Wasira
19. Emmanuel Mchimbi
20. Pindi Mchana
21. Jerry Slaa
22. Adam Kimbisa
23. Vuai Nahodha
24. Hussein Mwinyi
25. Maua Daftari
26. Samia Suluhu
27. Salimu Ahmed Salim
28. Makame Mbarawa
Hiyo ndio List ya kamati kuu ya CCM. Je nani mwenye ujasiri wa kumpitisha Lowassa kugombea urais, kati ya hapo nani yupo tayari kuwasaliti Watanzania?
Tuachane na Mafisadi. Tanzania kwanza
cc Pasco Ritz FaizaFoxy ocampo four Lizaboni n.k
Natamani hapa wasio washabiki wa CCM wakae kimya na ulingo ubaki kwa magamba nione jinsi wanavyopeana za uso kutetea makundi yao.
Sijawahi kuona makala ya kikanjanja kama hii.
Problem ya raia mwema ni mtiririko wa makala negative dhidi ya
ya lowassa tangu mwaka jana, so hapa hakuna jipya.