TheGreatest Of AllTime
Member
- Mar 14, 2025
- 89
- 252
Ukweli ni kuwa hakuna mkombozi wa kijana katika huu ukata. Atapigika sana akiendelea kusubiria resume yake ipitishwe.
Itakuwa haina maana miaka hio utakuwa una hudumia baby mamas wawili huku mwingine umemfungulia kibanda cha M-PESA lakini kijana wako anatembea na bahasha na kuzunguka kwa kila ndugu akisikilizia mchongo wa ajira
Sikufundishi jinsi ya kutumia pesa zako, ila tuachane na zile kauli walizosema baba zetu "mbona mimi hakuna alienipatia mtaji na nikajitafuta".
Ni muda muafaka sasa tufikirie kutengeneza generational wealth. Fanya consistently katika kila hatua ya ukuaji wa mtoto kwa muweka dukani tangu akiwa mdogo, mtoto mpelekeni shambani aangalie jinsi unavyoendesha mambo, etc
Itakuwa haina maana miaka hio utakuwa una hudumia baby mamas wawili huku mwingine umemfungulia kibanda cha M-PESA lakini kijana wako anatembea na bahasha na kuzunguka kwa kila ndugu akisikilizia mchongo wa ajira
Sikufundishi jinsi ya kutumia pesa zako, ila tuachane na zile kauli walizosema baba zetu "mbona mimi hakuna alienipatia mtaji na nikajitafuta".
Ni muda muafaka sasa tufikirie kutengeneza generational wealth. Fanya consistently katika kila hatua ya ukuaji wa mtoto kwa muweka dukani tangu akiwa mdogo, mtoto mpelekeni shambani aangalie jinsi unavyoendesha mambo, etc