Dr Emma John
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 820
- 196
Kamanda nakuomba sana Ingia
Ludewa hasa mwambao mwa ziwa nyasa! Deo Filikunjombe anawatambua vizuri
moto wao hao wanaosema Chadema ipo mjini wamulize Filikunjombi na bado
jezi na kofia zenu walizovalishwa mbwa na nguruwe 2010 kama hamjaisoma
kitaeleweka tu! Tambueni vijijini wameamka! Go go kamanda !
Kamanda Mawazo tunathamini saaana kazi yako kubwa ya kuleta ukombozi wa kweli na kuwafanya wote wasiojitambua wajitambue. Big Up and God Bless U Kamanda Mawazo.Mapambano daima kamanda.
Maisha bora kwa kila mtanzania ndo hayo
Ukisikia kilaza ndiyo wewe, yaani kwa maandishi makubwa ya msisitizo unaandika utumbo huu? Hizi "User Name" za humu si lazima ziwe ndiyo majina halisi. Wewe unavyotumia "Truth Matters" ni jina halisi? Hata ukiondoa herufi moja kama akina "Mandla Jr" (post#6) huwezi ukasema ni "Mandela Jr". Kama ungeona kuna nembo ya "Verified User" labda ndo unge question. Uzuri Kamanda kwenye heading kaandika vizuri kabisa jina lake halisi "Alphonce Mawazo" bila kujificha kama ulivyofanya wewe!
Kamanda Mawzo aka "Kamnda Mawazo" piga kazi CCm wameanza kuhaha baada ya Pandikizi lao kugundulika! Twanga kotekote umalize kazi. Tuko bega kwa bega mpaka kieleweke. Peopleeeeez....!
Who will lose at the end,its uuu
Ulitaka aongeaje wewe msukuleNaona unaongea kirahisi rahisi tu!
Insanity inawasumbua
Naona unaongea kirahisi rahisi tu!
''Hakuna haja ya kufadhaika na kuhisi kana kwamba kuna tatizo kweli,HAKUNA TATIZO CHADEMA,nawaomba tena na tena muelekeze nguvu zote vijijini ambako hata Zito hawamjui wao wanajua chadema.''Sijakuelewa...pls.
Halafu kwani kazi ni nini?wewe una kazi gani nyingine?
Big up kamanda Mawazo
Point please
Oooh! kumbe ni kujadili
tu mi nkajua tunaangalia huo mzigo umemuelemea mtanzania kwa sababu
gani..nani kasababisha na nani anaweza kututoa hapa tulipo kwenda hatua
nyingine????
Mjadala uwe tunatokaje hapa na nani ana potential za kututoa hapa
kwendea tunako tamani kuwa! CHADEMA kwa hii level ya thinking hawawezi
hii kazi!!
Kamanda kaza buti,kila la kheri wape dozi hao mbwiga magamba mpaka wajampe...
Kamanda nakutakia kila
lakheri ktk kujenga chama mungu akutienguvu tupo pamoja na Mimi kesho
nitakuwajimbo lamwakyembe