aisifiae mvua imemnyea. yaelekea na wewe yamekukuta. tueleze tu ukweli yaliyokukuta ndo ukaanza kuwabebeleza wasikilizaji wako waliokuwa na hasira juu ya unyanyaswaji anaofanyiwa zitto. hawajakupopoa mawe kweli?
Nimeingia jimbo la Kishapu kwa ziara ya siku nne,nawaomba wanachadema kupuuza na
kutolipa uzito suala la zito.tuiamini kamati kuu na baraza lake,wengine
tutawanyike tukajenge chama.Tusiingie kwenye mtego wa adui wa mabadiliko
yaani CCM,wanachotaka ni zogo hizi kuendelea nasi tupunguze kasi ya
kuwashughulikia,acheni kulifanya gumzo vijiweni na badala yake tujadili
uundaji wa misingi.Hakuna haja ya kufadhaika na kuhisi kana kwamba kuna tatizo kweli,HAKUNA TATIZO CHADEMA,nawaomba tena na tena muelekeze nguvu zote vijijini ambako hata Zito hawamjui wao wanajua chadema.