Rai: Kapuya asamehewe...!

Yan hili zee sijui likoje, ni kichaaa na zezete, amebaka mtoto, au kw sababu ya mambo ya kishirikina?

Namsifu Lema alimbaka yule changudoa (hili linajadilika)
Cheza na DHAMBI tu aina urafiki,Eti namsifu lema,Moyo wako upo katika tamaa ya kuona watu wanatenda DHAMBI na unafurahia na uku unajua kuwa DHAMBI ni CHUKIZO mbele za MUNGU.Jua dhambi ni SHETANI Mtumikie kwa kufurahia ila hipo siku utajuta kama KAPUYA.Dhambi imeshaua wengi Cheza nayo na Kuifurahia tu na usipotubu na kuacha Dhambi ITAKURALUA.
 
Nimesikitishwa sana na tamko la Kapuya kuwa "watoto wetu wanauza unga lakini hawakamatwi"

CCM ndiyo imetufikisha hapa bila kuondoka madarakani wengi wataendelea kuangamia.
 
Hili la Kapuya linatuonyesha wazi uchafu wa viongozi wetu tunao waamini, naamini kuna wengi wanafanya au wamefanya madudu kama haya ila tu hawajabainika...ila kwanini serikali hii huenda kufanya coverup kwa kukumbatia uozo wa viongozi ambao ni hatari kwa jamii?
 

Wote hao ni wapuuzi wapo humu kutetea ujinga na ninawasiwasi na shughuli wanazozifanya maana hata kapuya amesema hatishwi kwakuwa hata watoto wao wanafanya biashara ya unga na hawakamatwi.
 
Last edited by a moderator:
Yan hili zee sijui likoje, ni kichaaa na zezete, amebaka mtoto, au kw sababu ya mambo ya kishirikina?

Namsifu Lema alimbaka yule changudoa (hili linajadilika)

Akili tope.

Unakiri kuwa ndugu zako ni mashetani?
 


Baadhi ya nchi kama Saudia Arabia Kapuya angekua kaburini!
 

Nasikia ni waziri mkuu mtarajiwa!
 
Kuna watu wanaangalia hii habari kirahisi sana. Hapa issue sio tu mwanasiasa amembaka binti mdogo. Kapuya is a paedophile, anayenyemelea vulnarable girls na mwishowe anawaachia death sentence. Huyu binti (yatima) kimsingi anatumikia death sentence.

Lakini hebu tuangalie hii orodha fupi:
1. Waziri anayohusika na jinsia na watoto -Sophia Simba (Mwanamke)
2. Spika wa bunge - Anna Makinda (Mwanamke)
3. Mwenyekiti wa kamati ya bunge inayohusika na ustawi wa jamii - Margreth Sitta (Mwanamke)
4. Mwenyekiti wa kamati ya bunge inayohusika na sheria na katiba - Pindi Chana (Mwanamke)
5. Executive Chairperson wa TACAIDS - Dr. Fatma Mrisho - Mwanamke


Nimetaja hao watu ili tuone kiini macho cha 'wanawake wakiwezeshwa - wanaweza'. Hata kauli juu ya mtoto wa kike yatima aliyebakwa na kuhukumiwa 'kifo', hawa wanawake walio kwenye ngazi za maamuzi hawajatoa! Na mbaya zaidi, kwa maelezo ya huyo binti, amefika bungeni na kueleza mkasa wote, lakini hakuna mtu aliyemsaidia?

Kwa sasa Kapuya ni mbunge, hivyo uongozi wa bunge unatakiwa kuchukua hatua stahiki.

TACAIDS, kama kweli wana nia ya kupambana na janga ya la UKIMWI, wamkamate Kapuya na kumfikisha mbele ya vyombo vya habari. Sidhani victim wa huyu kigogo ni mmoja tu, wapo wengi. TACAIDS izue hii mission ya kuuwa kama ambavyo huyu kiongozi anafanya.
 
Uliowataja ni mtandao ule ule hawawezi kusema kitu,

labda subiri tamko toka kwa Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC au Mary Rusimbi wa TGNP.
 
Kapuya mpumbafu sana, kwa kweli lazima kielewe. Haki itendeke, Rais Kikwete kama anauchungu na hivi vitende lazima a act kama Raisi wa inchi kuishinikiza CCM kumvua ubunge mara moja then sheria ifuate mkondo.
 
kwahiyo angebaka tu bila kumuambukiza ngwengwe poa?

Mkuu point yangu hapo ni kwamba tukomalie hilo la kubaka kwani kuna ushahidi angalau wa Mazingira lakini hilo la kuambukizwa ukimwi tuna ushahidi gani nalo? Wewe umempima huyo binti na kuhakikisha kwamba ni kweli ameambukizwa ukimwi? Na hata akikutwa ameambukizwa, una uhakika ameambukizwa na Prof. Kapuya? Je una uhakika Prof. Kapuya ana ukimwi? Hebu tuangalie mambo kama watu tulionusu darasani bwana!!!!

Tiba
 

Mkuu pamoja na hayo mimi nilidhani uwepo wa "wabunge wa viti maalum" ni kutetea maslahi & ustawi wa wanawake & watoto ktk mijadala ya Bunge! Kumbe ni kodi zetu zinaliwa bure tu kwa maslahi ya Vyama vilivyowateua!! Nilitarajia wabunge wote wanawake na hasa wale wa viti maalum wasimame kidete kutaka uchunguzi yakinifu mapema iwezekanavyo!!!
 
Reactions: FJM
"WATOTO HAWA VIHEREHERE VYAO NDO VINASABABISHA " by JK the don..............!!ha ha ha ndo maana kapuya akapiga mzigo kama kawaida
 
Hata video ya lwakatale mwanzoni mlisema ni ya kutengeneza, baadaye ukweli ukagundulika sio ya kutengeneza.

Chadema ina ungonjwa mmoja. Kutokuamini vitu at the first sight.

maneno yangu kwako ni machache..."MUOGOPE MUNGU"
 

ningekuwa ni mimi kabwela sijui ningekuwa wapi maskini ya mungu,may ningekuwa na babu seya tunapiga story za kufa mtu
 
"WATOTO HAWA VIHEREHERE VYAO NDO VINASABABISHA " by JK the don..............!!ha ha ha ndo maana kapuya akapiga mzigo kama kawaida

ACHA KABISA.........



 
Angalia Mkono wa kushoto ulipo na kazi unayofanya, binti amekoleaaaa! Aaaha wafwaa!!

Tehe tehe teheeeeeeeee,

Asante mkuu kwa kunifungua macho. Mimi nikikuwa sijaiona hiyo. Duh, kuna wazee balaa. Lakini huyo jamaa ana sifa za ushirikina sana mpaka mmoja wa makatibu wake msaidizi ambaye ni mtu wa dini aliamua kuachia ngazi kutokana na kutakiwa kuratibu safari za kwenda kwa waganga. Halafu inasemekana kalamba mabinti zake wote kwa masharti ya ma sangoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…