Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,906
- 831,232
- Thread starter
- #81
Hapana hawa wote watapata mafunzo na kuajiriwa huko kumbuka kuna kukusanya malighafi kuchakata kuzalisha kuhifadhi kusambaza kuuza kwa jumla na rejareja hivyo ajira zitakuwepo hapona ikishakua binafsi maana yake hawa wamama muuza waliopo kwa mamia mitaani watafaidikaje na hiyo transition ya gongo production kama serikali itaamua kumonopolize hiyo sector ya gongo inayoajiri mamia lakini inateketeza maelfu.
Hii yangu ni rai tu utekelezaji wake unataka mipango thabiti na umakini

