Rai: Bangi na gongo vihalalishwe

Rai: Bangi na gongo vihalalishwe

Hakuna bangi yenye stimu kali kama ya Ngaramtoni na Oldonyo sambu Arusha.

Kuna bangi ya kwenye chungu wanaitumia sana watoto wa Arusha....ile pafu moja tu inaweza kumfanya mtu akapizi.

Dah...hebu ngoja nitafute Rizzla kwnz hapa kwenye droo
 
Hakuna bangi yenye stimu kali kama ya Ngaramtoni na Oldonyo sambu Arusha.

Kuna bangi ya kwenye chungu wanaitumia sana watoto wa Arusha....ile pafu moja tu inaweza kumfanya mtu akapizi.

Dah...hebu ngoja nitafute Rizzla kwnz hapa kwenye droo
 
Kuendelea kutozitambua hizi bidhaa ni kuendelea kupoteza ajira nyingi na mapato mengi mengi
Tafiti nyingi zimethibitisha kuwa bangi ikitumiwa kwa kiwango cha chini ni tiba kwa magonjwa mengi hata kwenye ushirikina
Vile vile Vinywaji vingi vikali formula zake haitofautiani na gongo kwanini tusiwekeze huku?

Mkuu kaangalie na kujifunza kupitia ile documentary Ya "Moonshiners" on Discovery channel ndio utajua madhara Ya moonshine
 


Mimi ni mpinzani no moja wa kupinga matumizi ya mmea hata post nilishawahi kuweka lakini kila kitu sio negative kivile tunaangalia maslahi mapana ya Taifa
Mkuu Mshana,ubarikiwe na usijali hao wanaosema waweza kuwa mtumiaji mkuu wa majani,wewe tupanue mawazo tujikwamue kiuchumi tu,kuchoma bhang sio jinai ni uraibu wa mtu.
 
Kwa kweli bangi iruhusiwe tunahangaika kuvuta kwa kujificha mara tuchome udi.... Mbona sigara zavutwa ilhali zimeawekewa onyo ni hatari kwa afya wakati Huo BANGI HAINA ONYO LOLOTE?
Ukichoma udi bado watasanda harufu...

wakongwe huwa tunachoma maganda ya mayai.
 
bro haya matatizo yaliyokuwepo sasa si mchezo he ikiwa halali itakuwaje?
 
Mkuu kwa cha arusha cna tatizo ila hiyo gongo aiseee watu wanaotumia ni kama vile wamekata tamaa yaani hawajielewi wapo wapo tu kwakweli siafiki gongo ina madhara mkuu.
 
Siku moja niliend kununua Bangi mid a ya jioni nikakuta watoto wa2 wa kike wanasoma Bible..'Bibi Yuko wapi?' Wakasema hayupo ila dawa ipo.. Basi wakaniuzia dawa pale wakaendelea na Bible yao. Nlifarijika sana kuhudumiwa na malaika wale.
 
Back
Top Bottom