Watu tunapiga debe viroba vizuiwe (advanced gongo) na banana wewe unataka vihalalishwe ungejua namna vilivyochangia madhara kwenye familia za watu usingeandika ulichoandika.
Ulishamuona mnywa gongo mwenye future hata mmoja wengi ni wezi na vichaa hawajali familia zao wala hawatii sheria vijana wengi wanaokataa shule na kuanza ujambazi huwa ni wavuta bangi tusiangalie manufaa yatokanayo na biashara hii
sababu hata wazungu walivyokua wakiwachukua mababu zetu utumwani na kutuibia rasilimali zetu walikua wanatengeneza faida.