[/COLOR]
mie wazo la jamii halipogo kichwani mwangu kabisa,naishi nipendavyo, lakini baada ya hiko kitendo nikijifikiria nilisameheje sameheje huwa cpati picha kabisa, cjui ilikuwaje kabisa, na hakuamini kama kweli naweza lisamahe.....
[/COLOR]
mie wazo la jamii halipogo kichwani mwangu kabisa,naishi nipendavyo, lakini baada ya hiko kitendo nikijifikiria nilisameheje sameheje huwa cpati picha kabisa, cjui ilikuwaje kabisa, na hakuamini kama kweli naweza lisamahe.....
mungu akuzidishie moyo kama huo wa mapenzi na huruma............................wengine tushakufa wadudu mwilini.
Acha kutudanganya hapa...
Wewe si ulisema ukiona ana cheat lazima kieleweke iweje tena ulimsamehe?
ulishanisoma huko nyuma kwenye thread fulani kijana? au ndio umeshatoka kula wali maharage sasa unanicheulia mie?....lol
unataka kunisaidia kupata mchumba au :smile-big:
:confused2::A S 100::tape2:
unataka ushahidi au unataka nini au umesahau?:becky:
:confused2::A S 100::tape2:
ningekuwa na muda wa kufukunyua maelezo ya theard niliyoelezea ningefukunyua, najua ya kwako nitakupa maelezo/ kazi ya ziada....haya fykunyua leta hapa!...halafu unamchekea nani?...lol
hiyo simu inapigwa wapi? au polisi?
ulishanisoma huko nyuma kwenye thread fulani kijana? au ndio umeshatoka kula wali maharage sasa unanicheulia mie?....lol
Yaani watu wengine kwa unoko sipati picha:fencing::fencing::fencing:
Yaani watu wengine kwa unoko sipati picha:fencing::fencing::fencing:
Yaani watu wengine kwa unoko sipati picha:fencing::fencing::fencing:
:becky::becky::becky:Hahahaha una valuu zangu 3 mezani leo.
:confused2::confused2::confused2:hupati picha unapata sauti tu au chenga tupu?
πlayball:πlayball:πlayball:ndio tunakoelekea....c umenianza?
Hahahaha una valuu zangu 3 mezani leo.
kwani mtibuji mtaalamu wa kitengo cha 'massage' ameshathibitisha kwamba sasa anaweza kujaribu mambo yetu yale mpwa?
Nina swali;
Hivi response utakayoonyesha pale unaposalitiwa na GF/BF ni sawa na pale unaposalitiwa na wife/husband?
Nauliza hivi sababu kabla sijaoa nilishaachana na maGF kadhaa pale nilipothibitisha wamenisaliti. Tena haikuwa kaz kumwambia mtu 'basi, kuanzia leo tusijuane tena'. Lakini sasa huwa nafikiria kwa mfano ikitokea siku wife akacheat na nikagundua, hivi itakuwa rahis kumwambia tusijuane? Kwa haraka nahisi itakuwa ngumu, unless awe sugu. Tena nahis akicheat wife, moto mkubwa zaidi nitauwasha kwa huyo aliyecheat naye...