Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Dyudyu na papuchi zote zanguila hii dunia ina maajabu mengi sana how comes mtu mgumu na shemales kama wewe unakuwa unapapatikia dyudyu kiasi hicho???
Dyudyu na papuchi zote zanguila hii dunia ina maajabu mengi sana how comes mtu mgumu na shemales kama wewe unakuwa unapapatikia dyudyu kiasi hicho???
Unataka kwenda haraka, au siyo? Sawa, endelea hivyo namimi nakuhakikishia hutakwenda mbali. Ukitaka kwenda mbali go with her. Hata hivyo nakuhakikishia huwezi kwenda haraka. Sasa chaguo ni lako.Hii ndiyo raha ya kuwa single, naamua ninachokitaka, narudi home muda ninaopenda na siulizwi na mtu. Nafanya ninachoweza siulizwi na mtu hata nisipokula home siulizwi nimekula wapi.
Sasa wewe kama upo na msichana usiniige mimi maana lawama sipendi.
Umeamua kuchomoka kwa kutumia lugha ngumu kusudi. Inawezekana labda kutongoza ina maana nyengine tofauti na uelewa wangu. Lkn kwa mwanaume kamili kutongoza lazima
Social pressure inawasumbua wengi.Nahisi umetumia kichwa changu kuwaza Mkuu.
Kiualisia mwanaume anaogopa sana commitment maana haimsaidii....ila panahitajika tu sehemu ya kupunguzia oil....Marriage is a price men pay for sex, whereas sex a price women pay for marriage....sasa kama kuna sehemu sex inapatikana bila malipo ya ndoa huoni hilo ni jambo la faida kwetu?
Aisee ilikuwa nyimbo ya AY na Mwana FA SAFIYOOOOMbona kama unajitetea vile? Anyway, kuna jamaa aliwahi kusema "kama unatoswa jiulize, ni ubaya ama ufukara?".
Hebu angalia inbox hakujajaa pm za wadada??? Make humu KE ukizungumzia habari za usingo Au ubachela na kuelezea mawazo yako tu ME wanajaa inbox as if umesema unatafuta mchumba mi hata siwaelewagi! Anyway kuwa single kuna raha na karaha pia
Mshike Mungu, achana na dini,,Mi ni mshika dini sana