Raha ya kuwa single

Raha ya kuwa single

Hahaa,niliwahi kujaribu cku moja kipindi ni O level nilivimba uume vibaya sana,na ckuwahi tena mkuu.maana najua madhara yake
Watu wanapiga hadi kwa kutumia nati.
IMG-20160911-WA0007.jpeg
 
Unakuwa single halafu huna ishu ya kukufanya uwe bize ni majanga.

Ila mbona kama unajitetea au unapigwa sana vibuti ukaona uje kujifaraji JF
hahah mi ninahisi harufu ya tangazo hapa, inabidi ailipie na mods wampe risiti kabisa
 
Hii ndiyo raha ya kuwa single, naamua ninachokitaka, narudi home muda ninaopenda na siulizwi na mtu. Nafanya ninachoweza siulizwi na mtu hata nisipokula home siulizwi nimekula wapi.

Sasa wewe kama upo na msichana usiniige mimi maana lawama sipendi.
Raha nyingine ya kuwa single utajifia bila msaada
 
Mkuu cjawahi kuumizwa na mwanamke,na huwa niko bize na kazi vibaya sana,nafanya kazi masaa kumi na 13 ,home narudi saa mbili hadi saa tatu.nikichelewa naingia saa 4 na kuamka saa 11 asubuhi.na mimi ni bonge la mwanaume na mumgu kanijalia uhandsome.ila mimi cyo mtu wa sketi
Haya
 
Back
Top Bottom