Umeendeleza utetezi tena.Mkuu cjawahi kuumizwa na mwanamke,na huwa niko bize na kazi vibaya sana,nafanya kazi masaa kumi na 13 ,home narudi saa mbili hadi saa tatu.nikichelewa naingia saa 4 na kuamka saa 11 asubuhi.na mimi ni bonge la mwanaume na mumgu kanijalia uhandsome.ila mimi cyo mtu wa sketi
Kwani hata ukisema ukweli mkuu utapungukiwa nini. Hii kitu haiwezekani kwa umri uliokuwa nao
Hebu sema kweli mkuu, hatupo instagram hapaWell..Haiwezekani kwako.
ila hii dunia ina maajabu mengi sana how comes mtu mgumu na shemales kama wewe unakuwa unapapatikia dyudyu kiasi hicho???Mtihani wa kuwa singo sijawahi kuufaulu
Nahisi umetumia kichwa changu kuwaza Mkuu.Raha ya kuwa single, hupigwi vizinga pesa unakula mwenyewe
Ukitaka huduma ya msingi unainunua chapchap umemaliza.
Huna haja ya kumtoa mtu out, sjui kumfikiria mwingine.
*kuwa single ni raha, ila uwe na cha kukuweka busy, sio uko single halaf unakaa idle tuu, hapo bora utafute mwenzio akupe hata ki kampan flani hivii
ShikamooooNi sawa fanya hivyo mpaka jioni yako itakapofika ndio utajua faida na hasara zake. Hapa nilipo natunzwa na wanangu na wajukuu.
Mkuu we mkali,...hadi leo hujawahi kutongoza?...hata kama kuna wanaojileta, lazima kuna ambao itabidi uanzishe harakati au kufukuzia kabisa....sasa wewe hadi leo bado?...au wewe ni mtawa?Sijawahi kutoswa, wala sijawahi kutongoza.
Hebu sema kweli mkuu, hatupo instagram hapa
Mkuu we mkali,...hadi leo hujawahi kutongoza?...hata kama kuna wanaojileta, lazima kuna ambao itabidi uanzishe harakati au kufukuzia kabisa....sasa wewe hadi leo bado?...au wewe ni mtawa?
Kuna kitu hakiko sawa hapa. Kuna kujifariji kwa maneno lakini kwa ndani Mungu ndo anayejua. Mkuu tunaelewa na tulishapitia hiyo stage.. jitahidi utaivuka tu. All the best.. kaza but...Cna mda na mwanamke kwa sasa
Umeamua kuchomoka kwa kutumia lugha ngumu kusudi. Inawezekana labda kutongoza ina maana nyengine tofauti na uelewa wangu. Lkn kwa mwanaume kamili kutongoza lazimaGet a polygraph.
Mkuu cjawahi kuumizwa na mwanamke,na huwa niko bize na kazi vibaya sana,nafanya kazi masaa kumi na 13 ,home narudi saa mbili hadi saa tatu.nikichelewa naingia saa 4 na kuamka saa 11 asubuhi.na mimi ni bonge la mwanaume na mumgu kanijalia uhandsome.ila mimi cyo mtu wa sketi
Nahisi umetumia kichwa changu kuwaza Mkuu.
Kiualisia mwanaume anaogopa sana commitment maana haimsaidii....ila panahitajika tu sehemu ya kupunguzia oil....Marriage is a price men pay for sex, whereas sex a price women pay for marriage....sasa kama kuna sehemu sex inapatikana bila malipo ya ndoa huoni hilo ni jambo la faida kwetu?
Kweli Mkuu...kuna nyuzi nyingine hapa MMU nikizisoma hadi macho yanakufa ganzi....kweli bora kuwa singo aisee.Uko sawa mkuu, na kama mtu unakuwa busy, una work hard unaingiza pesa, pa kupunguzia oil huwezi hangaika pia.