ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 8,241
- 14,747
Ni kweli Mkuu.Mambo mengi yanakuwa hovyo kwa sababu watu wanaishi kwa mategemeo ya jamii.Utakuta mtu ajajianda kwa jambo flani au hata haliitaji kwenye maisha yake lakini kwa sababu ya misukumo ya wengine na kwa kuishi kwa matarajio ya wengine inamlazimu afanye.Matokeo yake ni kushindwa kwenye hilo jambo, ebu chunguza kiwango cha talaka kwenye jamii mbali mbali uone maajabu yake.Social pressure inawasumbua wengi.