lady Jay
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 529
- 655
umenifurahshaVipi tena kiongozi, kulikoni?
umenifurahshaVipi tena kiongozi, kulikoni?
Karibuumenifurahsha
Nyie ndio mnapiga nyeto hadi ukisikia harufu ya sabuni inadinda
!!!Ni kweli aisee. Kujifariji pia inaruhusiwa ila kuwa single mda mrefu duuhhii misongo ya mawazo mibaya sana ... jamaa kawa mpweke kaamua kuja kutafuta wa kumfariji😀😀😀
Hizi ni akili za kitoto.Hii ndiyo raha ya kuwa single, naamua ninachokitaka, narudi home muda ninaopenda na siulizwi na mtu. Nafanya ninachoweza siulizwi na mtu hata nisipokula home siulizwi nimekula wapi.
Sasa wewe kama upo na msichana usiniige mimi maana lawama sipendi.
Wewe ni mgonjwa na bahati mbaya hujui kama unaumwa. Mungu akusaidie ili uweze kujitambua.Mkuu cjawahi kuumizwa na mwanamke,na huwa niko bize na kazi vibaya sana,nafanya kazi masaa kumi na 13 ,home narudi saa mbili hadi saa tatu.nikichelewa naingia saa 4 na kuamka saa 11 asubuhi.na mimi ni bonge la mwanaume na mumgu kanijalia uhandsome.ila mimi cyo mtu wa sketi
Picha tafadhaliMkuu cjawahi kuumizwa na mwanamke,na huwa niko bize na kazi vibaya sana,nafanya kazi masaa kumi na 13 ,home narudi saa mbili hadi saa tatu.nikichelewa naingia saa 4 na kuamka saa 11 asubuhi.na mimi ni bonge la mwanaume na mumgu kanijalia uhandsome.ila mimi cyo mtu wa sketi
HawasemagiMkuu cjawahi kuumizwa na mwanamke,na huwa niko bize na kazi vibaya sana,nafanya kazi masaa kumi na 13 ,home narudi saa mbili hadi saa tatu.nikichelewa naingia saa 4 na kuamka saa 11 asubuhi.na mimi ni bonge la mwanaume na mumgu kanijalia uhandsome.ila mimi cyo mtu wa sketi
Mbona kama unajitetea vile? Anyway, kuna jamaa aliwahi kusema "kama unatoswa jiulize, ni ubaya ama ufukara?".
Ushawahi kutoswa?
Kwani hata ukisema ukweli mkuu utapungukiwa nini. Hii kitu haiwezekani kwa umri uliokuwa naoSijawahi kutoswa, wala sijawahi kutongoza.
Sijawahi kutoswa, wala sijawahi kutongoza.
PromooooMkuu cjawahi kuumizwa na mwanamke,na huwa niko bize na kazi vibaya sana,nafanya kazi masaa kumi na 13 ,home narudi saa mbili hadi saa tatu.nikichelewa naingia saa 4 na kuamka saa 11 asubuhi.na mimi ni bonge la mwanaume na mumgu kanijalia uhandsome.ila mimi cyo mtu wa sketi
