We jamaa nakufananishaga tabia na rafiki ang mmoja anaitwa boris, maneno yenu yanafanana kinyama yaan
acha hizo aisee![]()
![]()
![]()
acha hizo aisee
Kwani hana ndugu, jamaa na marafiki?Kuwa single kuna raha sake, sheeda ni pale utakapokuwa unaumwa usiweze hata kuamka
Msalimie sana Boris,Siriaz mkuu! Bwireeee
Sasa kuna raha gani ya kula pesa mwenyewe...Raha ya kuwa single, hupigwi vizinga pesa unakula mwenyewe
Ukitaka huduma ya msingi unainunua chapchap umemaliza.
Huna haja ya kumtoa mtu out, sjui kumfikiria mwingine.
*kuwa single ni raha, ila uwe na cha kukuweka busy, sio uko single halaf unakaa idle tuu, hapo bora utafute mwenzio akupe hata ki kampan flani hivii
ww wanawake no busy na kazi CHAPUTA haupo daaah au pusti..?Huko pia cpo kabisa
sawaila umeongelea upande mmoja wa shilingi, kuna side B piaHii ndiyo raha ya kuwa single, naamua ninachokitaka, narudi home muda ninaopenda na siulizwi na mtu. Nafanya ninachoweza siulizwi na mtu hata nisipokula home siulizwi nimekula wapi.
Sasa wewe kama upo na msichana usiniige mimi maana lawama sipendi.