Rafiki yangu kampa kadi ya benki mke wake na akipata mshahara wote anampa mkewe. Yuko sawa kweli?

Rafiki yangu kampa kadi ya benki mke wake na akipata mshahara wote anampa mkewe. Yuko sawa kweli?

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu,

Hivi hii imekaaje?

Nina rafiki yangu ambaye tulisoma nae pamoja na kwa sasa anafanya kazi kwenye moja ya taasisi kubwa sana hapa nchini.

Jamaa take home ni around ya 1.5 Million kwa mwezi na ajira yake ni ya uhakika maana hiyo taasisi anayofanyia kazi ina muingiliano na masuala ya Serikali.

Lakini juzi wakati tunaongea kuna kitu aliniambia kikanishtua wakuu.

Huyu jamaa kumbe kadi ya benki ambayo anaingiziwa mshahara kamuachia mwanamke wake. Yaani akipata hela, mwanamke ndo huwa anapanga itumike vipi, wapi n.k

Mshahara ukiingia mwanamke anapewa taarifa na yeye ndo atapanga kila kitu cha humo ndani na hata mwamba akitaka chochote basi ni lazima ruhusa na matumizi itoke kwa mkewe.

Kilichonifanya nilete hii mada hapa ni kwamba, kuna rafiki yetu mwingine yeye anaumwa na nilimpigia jamaa kumpa update na kumuuliza kuhusu mchango maana tulikubaliana wote tutoe kabla huyo rafiki yetu hajatoka hospitali.

Jamaa ndo akaniambia ngoja aongee na mkewe maana ndo ana kadi yake ya benki. Kumuuliza ndo akaniambia huo ndo utaratibu wao. Akipata hela yote anapeleka kwa mkewe. Mkewe ndo atapanga iende au isiende


Sasa naomba kuwauliza humu hasa mlioko huko ndoani? Huyu jamaa yuko sawa kweli? Au ndio utaratibu ulivyo kwenye hizo ndoa wakuu? Kadi ya benki?
 
Usiingilie mapenzi ya watu fanya maisha yako

Kuna mwamba nilikuw naishi na mkewe nyumbani kwangu. Baada ya maisha kuwa magumu kwake. Baadae nikamtafutia room somewhere for rent

Yule mke wake akamwingiza jiran, jamaa hata kazi hana akambandua chumbani kwa mshikaji wangu

Ikawa so kali, nikamwendea mpaka bi mkubwa wake hewani kilichotokea. Mazeri akasema akirudiana nae hapo ndipo atakuwa mwisho kuwa mzazi wake

Story kufupisha
Baada ya mwaka jamaa karudiana nae. Nikaonekana shem mkuda wakati naumia nilimchangia mshikaji mfugo wa kulipia mahari

Ushauri mambo ya wanandoa sio ya kuingiliana utaonekana mchawi
 
Hongera yako mie nilimuulizaga ex wangu mshahara analipwa kiasi gani nilinuniwa wiki nzima😂😂😂
Sasa akakununia kisa nini jamani 🤣 🤣 🤣
Hivi wa hivyo mnawapataga wapi jamani na mimi nikatafute
Wapo, ila wanahitaji utulivu haswaaaa na wewe uwe mwanamke mwenye akili na wa kuaminika.
 
Wakuu,

Hivi hii imekaaje?

Nina rafiki yangu ambaye tulisoma nae pamoja na kwa sasa anafanya kazi kwenye moja ya taasisi kubwa sana hapa nchini.

Jamaa take home ni around ya 1.5 Million kwa mwezi na ajira yake ni ya uhakika maana hiyo taasisi anayofanyia kazi ina muingiliano na masuala ya Serikali.

Lakini juzi wakati tunaongea kuna kitu aliniambia kikanishtua wakuu.

Huyu jamaa kumbe kadi ya benki ambayo anaingiziwa mshahara kamuachia mwanamke wake. Yaani akipata hela, mwanamke ndo huwa anapanga itumike vipi, wapi n.k

Mshahara ukiingia mwanamke anapewa taarifa na yeye ndo atapanga kila kitu cha humo ndani na hata mwamba akitaka chochote basi ni lazima ruhusa na matumizi itoke kwa mkewe.

Kilichonifanya nilete hii mada hapa ni kwamba, kuna rafiki yetu mwingine yeye anaumwa na nilimpigia jamaa kumpa update na kumuuliza kuhusu mchango maana tulikubaliana wote tutoe kabla huyo rafiki yetu hajatoka hospitali.

Jamaa ndo akaniambia ngoja aongee na mkewe maana ndo ana kadi yake ya benki. Kumuuliza ndo akaniambia huo ndo utaratibu wao. Akipata hela yote anapeleka kwa mkewe. Mkewe ndo atapanga iende au isiende


Sasa naomba kuwauliza humu hasa mlioko huko ndoani? Huyu jamaa yuko sawa kweli? Au ndio utaratibu ulivyo kwenye hizo ndoa wakuu? Kadi ya benki?
Kuna tatizo mahali kwenye mtindio wa ubongo wa jamaa, amini kwamba! Hiyo ni weaknesses kubwa mno itakuja kumgharimu siku moja huyo jamaa na huenda ndiyo na akili itamrudia vizuri atoke huko alikofichwa...
 
Wakuu,

Hivi hii imekaaje?

Nina rafiki yangu ambaye tulisoma nae pamoja na kwa sasa anafanya kazi kwenye moja ya taasisi kubwa sana hapa nchini.

Jamaa take home ni around ya 1.5 Million kwa mwezi na ajira yake ni ya uhakika maana hiyo taasisi anayofanyia kazi ina muingiliano na masuala ya Serikali.

Lakini juzi wakati tunaongea kuna kitu aliniambia kikanishtua wakuu.

Huyu jamaa kumbe kadi ya benki ambayo anaingiziwa mshahara kamuachia mwanamke wake. Yaani akipata hela, mwanamke ndo huwa anapanga itumike vipi, wapi n.k

Mshahara ukiingia mwanamke anapewa taarifa na yeye ndo atapanga kila kitu cha humo ndani na hata mwamba akitaka chochote basi ni lazima ruhusa na matumizi itoke kwa mkewe.

Kilichonifanya nilete hii mada hapa ni kwamba, kuna rafiki yetu mwingine yeye anaumwa na nilimpigia jamaa kumpa update na kumuuliza kuhusu mchango maana tulikubaliana wote tutoe kabla huyo rafiki yetu hajatoka hospitali.

Jamaa ndo akaniambia ngoja aongee na mkewe maana ndo ana kadi yake ya benki. Kumuuliza ndo akaniambia huo ndo utaratibu wao. Akipata hela yote anapeleka kwa mkewe. Mkewe ndo atapanga iende au isiende


Sasa naomba kuwauliza humu hasa mlioko huko ndoani? Huyu jamaa yuko sawa kweli? Au ndio utaratibu ulivyo kwenye hizo ndoa wakuu? Kadi ya benki?
WANAWAKE MNAONEANA WIVU KWELI. HUPENDI MWENZIO APEWE KADI YA BANK? KWA SISI WANAUME HATUNA HUO MUDA WA KUFUATILIA MAISHA YA MTU. OLEWA WEWE SASA.
 
Mume na mke wakikubaliana na kufunga ndoa,wanakuwa mwili mmoja hawafanyi mambo yao kwa siri.Mume akimpa mshara mkewe kwa matumizi yao ni nafuu kuliko mume kubaki nazo mfukoni ebu jaribu wewe.Angalizo.kwa kuwa mume ndiyo kichwa yapendeza panapotokea sitafahamu basi maamuzi ya mume yanapasa kuwa maamuzi ya wote wawili na mke ayaheshimu
 
Back
Top Bottom