Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
Serikali inaumiza watu wa chini. Mgomo wa madereva nimemkuta huyu jamaa yangu yupo nje hapa kwenye dispensary yake keshapata sababu ya kufanya kazi zake. Kaenda kituoni karudi home.
Je watu wangapi leo hawatapata huduma?
Kumbuka huyu ni mtaalamu wa mifupa . Sijui kwa nini kazini kwake wasiwatumie usafiri?sijaelewa
Je watu wangapi leo hawatapata huduma?
Kumbuka huyu ni mtaalamu wa mifupa . Sijui kwa nini kazini kwake wasiwatumie usafiri?sijaelewa