Huyo mwana ni mnafiki sana kuna siku nilikuwa nachati naye namuuliza kama anaweza kuniunganisha na demu mkali aliyemcheki siku ile eti akawa anakaza eti haelewi nazungumza nini .
Huyo mwana ni mnafiki sana kuna siku nilikuwa nachati naye namuuliza kama anaweza kuniunganisha na demu mkali aliyemcheki siku ile eti akawa anakaza eti haelewi nazungumza nini .
Naona baada ya hii hype ya AI baadae value ya Human input/output itaongezeka sana, mfano rahisi chukulia kwenye vyakula, natural and organic vina thamani sana kuliko synthetic