Tehe tehe Nilikwambia huko hutaambulia kitu.
imekuwaje tena mbona kama sijaongea na wewe? Hebu chunguza kwa makini hzo text.!! Nashangaaaa
Mh! hili ndilo lililonifanya nichukue muda mrefu kutafakari
kama nitaaminika nikiomba ushauri hapa!
wt a story,.
try GENE ENGINEERING
Ni wiki ya pili sasa toka nipate ombi hilo kutoka kwa rafiki yangu wa karibu sana.
Hilo limekuja baada ya kupata uthibitisho wa vipimo vya kitaalamu kutoka Hospitali
Kuwa hana uwezo wa kupata mtoto katika maisha yake. Hivyo anaomba nifanye
hivyo kwa mkewe ili apate mtoto. Naomba mnishauri juu ya jambo hili kwani nimempa
jibu moja tu kuwa avute subira nitafakari. Pia amenieleza kuwa hilo jambo wamejadili
na mkewe na wameshakubaliana.
Naomba ushauri wenu waungwana!
Ni jambo ambalo ameomba liwe siri sijui kama itakuwa siri tena nikileta hivyo
vipimo hapa, hata hivyo mimi sijaviona hivyo vipimo!
Ni wiki ya pili sasa toka nipate ombi hilo kutoka kwa rafiki yangu wa karibu sana.
Hilo limekuja baada ya kupata uthibitisho wa vipimo vya kitaalamu kutoka Hospitali
Kuwa hana uwezo wa kupata mtoto katika maisha yake. Hivyo anaomba nifanye
hivyo kwa mkewe ili apate mtoto. Naomba mnishauri juu ya jambo hili kwani nimempa
jibu moja tu kuwa avute subira nitafakari. Pia amenieleza kuwa hilo jambo wamejadili
na mkewe na wameshakubaliana.
Naomba ushauri wenu waungwana!
Kabla hujaamua kukubaliana na ombi la rafiki yako, hakikisha wote watatu mmepima ngoma. Unaweza kujifanya kutoa msaada ukaambulia kupata ngoma.Ni wiki ya pili sasa toka nipate ombi hilo kutoka kwa rafiki yangu wa karibu sana.
Hilo limekuja baada ya kupata uthibitisho wa vipimo vya kitaalamu kutoka Hospitali
Kuwa hana uwezo wa kupata mtoto katika maisha yake. Hivyo anaomba nifanye
hivyo kwa mkewe ili apate mtoto. Naomba mnishauri juu ya jambo hili kwani nimempa
jibu moja tu kuwa avute subira nitafakari. Pia amenieleza kuwa hilo jambo wamejadili
na mkewe na wameshakubaliana.
Naomba ushauri wenu waungwana!
kizuri kula na ndugu yako kaka kumbuka[/QUOTE]
bebiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!..............hili kamwe haliwezekani,nacho fikiri ni kwamba hata Gazeti nae ana matatizo