Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
kijana gazeti mwambie rafki yako awe kama michael jackson, akamchukue mpaka hosp then wakampandikizie mbegu za watu wasiowafahamu then atazaa vzr kuliko wewe kuhusika, mke wa mtu sumu kaka kama hauamini jaribu then utaniambia, michael jackson hakuwa na mtoto, wote walikuwa wa kupandikiza, kama unampenda rafki yako, na unakiri kuwa n rafki yako wa ukweli mshauri atumie njia ya kupandikiza au wewe toa mbegu hosp then zikapandikizwe kwa uyo bibie kuliko wewe kulala na mke wa rafki yako, umenielewa? au ndo unamtaman mke wa rafki yako? umenielewa?