Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Tatizo sterling kauwawa kabla movie haijaisha.hii movie nasubiri sehemu ya pili.
Tatizo sterling kauwawa kabla movie haijaisha.hii movie nasubiri sehemu ya pili.
Be honest, huyo jamaa angekuwa mtoto wako wa kuzaa na akaja kwako akakueleza mawazo yake, je wewe kama mama ungekubaliana na wazo kuwa amtafute mwanaume mwingine alale na mkewe ili aweze kupata wa(m)toto? Si suala la mfumo dume, bali ni suala la feasibility, justifiability, practicality and acceptability in our living society kuwa mwanaume ambaye mkewe hawezi kuzaa kabisa aweza kupata wa(m)too either kwakuoa mwanamke mwingine au kwakuzaa nje ya ndoa lakini mwanamke ambaye mwanaume wake hawezi kuzaa si rahisi kufanya kile ambacho mwanamume angefanya. Najua kina mama mnatetea sana haki zenu lkn mtambue kuwa it doesn't holds in all circumstances, kwa hiyo si suala la mfumo dume ni suala la nature of tradition of the business. Nafahamu kwamba mnaumia sana juu ya hili lakini ndivyo hali halisi ilivyo. Naomna hapa nimeusisitiza mfumo dume.....
Ukitaka ijadiliwe vizuri ipeleke facebook kule. Kuna vijana wa sekondari na primary, hadithi kama hizi wanazipenda sana.
Ni wiki ya pili sasa toka nipate ombi hilo kutoka kwa rafiki yangu wa karibu sana.
Hilo limekuja baada ya kupata uthibitisho wa vipimo vya kitaalamu kutoka Hospitali
Kuwa hana uwezo wa kupata mtoto katika maisha yake. Hivyo anaomba nifanye
hivyo kwa mkewe ili apate mtoto. Naomba mnishauri juu ya jambo hili kwani nimempa
jibu moja tu kuwa avute subira nitafakari. Pia amenieleza kuwa hilo jambo wamejadili
na mkewe na wameshakubaliana.
Naomba ushauri wenu waungwana!
kijana gazeti mwambie rafki yako awe kama michael jackson, akamchukue mpaka hosp then wakampandikizie mbegu za watu wasiowafahamu then atazaa vzr kuliko wewe kuhusika, mke wa mtu sumu kaka kama hauamini jaribu then utaniambia, michael jackson hakuwa na mtoto, wote walikuwa wa kupandikiza, kama unampenda rafki yako, na unakiri kuwa n rafki yako wa ukweli mshauri atumie njia ya kupandikiza au wewe toa mbegu hosp then zikapandikizwe kwa uyo bibie kuliko wewe kulala na mke wa rafki yako, umenielewa? au ndo unamtaman mke wa rafki yako? umenielewa?
hahahah..............babu ODM
Duh! swali lako gumu sana mkuu, kifupi upande mmoja
unanisukuma kufanya hivyo lakini upande mwingine unasita
kwani sina uhakika na anachokizungumza kwa sababu hata
hivyo vyeti kuoka hospitali sijaviona!
Duh! swali lako gumu sana mkuu, kifupi upande mmoja
unanisukuma kufanya hivyo lakini upande mwingine unasita
kwani sina uhakika na anachokizungumza kwa sababu hata
hivyo vyeti kuoka hospitali sijaviona!