Afadhali hauna jipya maana nilijiandaa kufata maagizo yako yote. Ahsante & nakupenda sana.Sina kingine...siwez punguza hata!
Punguza ujuaji unenepe.
Afadhali hauna jipya maana nilijiandaa kufata maagizo yako yote. Ahsante & nakupenda sana.Sina kingine...siwez punguza hata!
Nna afya tele dogo!Afadhali hauna jipya maana nilijiandaa kufata maagizo yako yote. Ahsante & nakupenda sana.
Punguza ujuaji unenepe.
Hongera kwa afya njema. Nakupenda.Nna afya tele dogo!
Kawapende ndugu zakoHongera kwa afya njema. Nakupenda.
Ndugu zangu ndio hao hawanipendi, me nakupenda wewe.Kawapende ndugu zako
😏Ndugu zangu ndio hao hawanipendi, me nakupenda wewe.
Stress za mil.25 nzima mzee baba! Si bora ubetie odds 1.5 kwa million 1 tu ni hela ya kutosha tu kisha unakaa kwa kutulia!Milioni 25 nikanunue mahindi stress zote za nn🤣
Waoooh! Ahsante kwa kiss Wangari Maathai
Wateja wapo hapo hapo Ila baada ya Bei kupanga miezi kadhaa, pia ana soko kubwa Kenya.
Kwa wazee wa kubeti tunasema hizo ni odds 2.7 ambazo ndani ya dakika chache tu bila kukanyaga jaruba hata moja la mahindi unaweza kuwa umetia kibindoni hio hela🤓🤓🤓Unaweka 25m kupata 60m baada ya muda gani?
Kabisa na hawahawa siku akija kuaguka ndio wanamchekaHata mimi ningewaweka pembeni..ndugu sio kbs..kwanini ww usimfate huko ukaanza mdg mdg? Mnaonag raha sana kuomba
Hapo kwenye kusubiri bei ipande kuna wadudu wabaya wale 😜😜😜 wanaweza wasikuache salama wakatafuna mtaji kidogoWateja wapo hapo hapo Ila baada ya Bei kupanga miezi kadhaa, pia ana soko kubwa Kenya.
Mtegemea Cha nduguye hufa maskini. Tafuteni vya kwenuNina bro wangu wa damu kabisa alizamia huko Kiteto analima mbaya kbs, asee amekuwa milionea kama utani. Tatizo baada ya kuzishika hataki tena kutuskia nduguze, so sad!
Hana akili huyo mwaka.juzi 2019 mwishoni yalifika hadi 20000 kwa debe, na hiyo ni Bei nzuri Sana .Tajiri wa kijijini kwetu ana mahindi ya tangu 2017 anasubiri bei itakayomfavour.
Bro
Unachosema ni kweli...kweli tupu
Ila kuna watu wanadharau sana shamba
Wanadharau sana kilimo
Hahahah! (Bila kukanyaga jaruba hata moja)Kwa wazee wa kubeti tunasema hizo ni odds 2.7 ambazo ndani ya dakika chache tu bila kukanyaga jaruba hata moja la mahindi unaweza kuwa umetia kibindoni hio hela
Bro kuna Issue zaidi hapo tena Issue za mke ndio chanzo. Usiungane na huyo malaya mweusi.Kabisa na hawahawa siku akija kuaguka ndio wanamcheka
Mkuu umeandikaa vyemaa sema hujaelezeaa kinaga ubagaa Jinsi ya kufanya Biashara hapo Kibaigwaa.... either Ni kwa kulima or kununua Mazao na kuyauza...Binafsi napenda kuweka wazi kabisa kuwa Mimi Sera yangu ni utajiri, ninahubiri utajiri tu. Tafadhali Kama wewe una mawazo ya kimaskini hii post inaweza kukuletea shida ya msongo wa mawazo.
Rafiki yangu yupo dodoma muda mrefu Sana tokea tumalize wote chuo kipindi hicho.
Kwao ni dodoma na alianza harakati za maisha hata kipindi tunasoma, tulipomaliza alikuwa tayari kwenye mstari na Sasa hivi ni tajiri mkubwa tu huko dodoma.
Huyu amepata pesa kwenye mahindi kule kibaigwa, ni mahindi tu hakuna kingine zaidi ya hicho kilichompa utajiri. Ila Sasa hivi ana vingine(Malori).
Unaweza kupita sehemu na kudharau kumbe ndipo pesa inapatikana kirahisi hapo. Niseme ukweli sijawahi kupaelewa kibaigwa na nilipomueleza hili alinishangaa Sana.
Amenieleza kibaigwa Kuna pesa nyingi Sana ya mahindi, na hapa tunapoongea nimeomba kuweka pesa kwa kutumia mgongo wake.
Kijana mwenzangu kama upo jirani na kibaigwa hebu jaribu kwenda kufanya research uwekeze ulichonacho kwenye mahindi hata kwa kuanza mdogomdogo, tusidharau Sana sehemu hizi.
Binafsi nimetoa tayari mil 25 kwa ajili ya hii kitu na ninaeleza kupata mil 60 Kama mambo yakikaa vizuri. Najua Sana biashara na najua Kuna kupata na kukosa Ila ni lazima kchukua "risk".
Bila kuchukua risk huwezi kufanikiwa kabisa, huu ni ukweli mchungu.
Kijana mdogo(38) anamiliki Lori 6, na zote anajaza mzigo unaenda Kenya na sehemu zingine.
Nipo tayari kufuata hii njia pia, tukubali tukatae ni lazima tufanye vitu vingi ili tuweze kuwa matajiri bila hivyo tusahau kuwa matajiri.
Umaskini ni mbaya Sana ndugu zangu, na kitu kibaya zaidi ni mawazo ya kimaskini.
Ukiwa maskini hata ukiongea jambo la kuchekesha watu hawacheki.
Hivyo naongeza nguvu nyingine kwenye sekta hii na haswa kupitia mgongo wa huyu jamaa yangu
Naona ndoto nyingi Ila muda nahisi hautoshi kuzitimiza.................!
Pesa ipo sana, ila yapaswa kutumia akili kuipata...!
Miezi 7 hadi 8 , unachukua Sasa hivi mwezi wa 5 kwa mfano gunia 36k hadi42k, unakuja kuuza mwezi wa 12 au wa kwanza kwa 102k au 108kUnaweka 25m kupata 60m baada ya muda gani?