Rafiki yangu amekuwa tajiri mkubwa Dodoma, ninafuata njia zake. Tuzifuate

Anything is possible.mm kibaigwa napajua sana biashara karibia zote.
Labda sijaelewa biashara yenu lakini kwamba biashara ya mahindi ununue malori mmmmh hapo nina Mashaka.

Wafanyabiashara wakubwa wa mahindi kibaigwa wanapeleka unga Zanzibar na faida ni ndogo sana.

Kenya wanapeleka wenyewe wakenya wanakuja kununua sokoni.Kwa mtanzania kupeleke Kenya ni ngumu kulingana na masharti ya wizara.

Mkuu nakushauri fuatilia hizo hela zako ni ngumu sana mtu kumaliza chuo 2018 ajue biashara ya kibaigwa Kwa mda mfupi.pale kibaigwa watu wanatapeliwa,wakenya wamelizwa sana (sijaamaanisha jamaako tapeli).

Kingine ambacho kinatakiwa kikushtue ni faida aliyokutajia yaani kutoka mil 25 hadi 60mil ni parefu sana.

Watu wanaopiga hela kidogo kibaigwa niwale wanaoweka stoo kina Gwajima wamejenga godowns lakini bado hawapati faida uliotaja.

Biasahara ya mahindi nimefanya tangu miaka 2005.

Take care
Huna ulijualo, mahindi yananunuliwa kwa kulanguliwa Sasa hivi ili yauzwe mwezi wa 12 au wa kwanza
Pia ni wapi nimesema kamaliza chuo 2018? Hujui kusoma?
 
Mkuu nipo Songea na kilimo cha mahindi ndio kinaniweka mjini ukitaka kulima heka kumi angalau uwe na milioni nne! Hiyo laki sita haitoshi hata kukodia trekta kulima hizo heka ishirini! Huko mnatumia mbinu gani?
Heka 1 trekta inalima kwa 30,000/= tu yan huongez hata 100 hapo kwahiyo hiyo m4 kwa kiteto mzee unaweza kulima heka nyingi sana
Na wakat wanalima unaweka watu wa kupanda trekta ikipita na watu wanapita ghrama n ndogo mno kwa kiteto hela bado ina thaman sana kule ili mtu upate 10k inabid upige kaz sana
 

Similar Discussions

51 Reactions
Reply
Back
Top Bottom