Masikini anapenda sana ngono kuliko tajiri

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,513
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kautafiti kangu kasiko rasmi nilikofanya mi mwenyewe ni kuwa masikini anapenda sana ngono kuliko tajiri.

Masikini anapenda sana ngono kwakuwa muda mwingi amekuwa hana la kufanya yaani anakuwa yupoyupo tu.

Mara nyingi masikini anakuwa amepumzika hivyo mwili wake unakuwa na hamu ya ngono mara kwa mara.

Masikini wakati mwingi anakuwa hana mawazo mengi sana, mara nyingi hasumbui ubongo wake.

Huyu masikini anapenda ngono pia sababu huitumia kama faraja yaani anakuwa anajiburudisha maana hana pesa.

Hivyo huona kama sasa sina pesa, bora nijiburudishe na ngono, na huifanya sana sio kitoto yaani mnaelewa.

Kiumbe hiki masikini kinapenda sana mechi kali yaani ndio maana wake za matajiri wanakuwa wanakisaka sana.

Ukiangalia vijana wa kiume masikini ndio huwa na majimama na wanayapa mavituzi mpaka mashangazi yanachanganyikiwa.

Masikini ndio wanaongoza kwa kuzaa, yaani kiumbe hiki kikipiga tu goli lazima kifunge pamoja nakuwa halina pesa.

Mwanaume akiwa masikini ndo balaa na nusu yaani anawaza ngono Ile mbaya, akijifungia niapunyeto deile.

Ukikutana na mwanamke masikini basi ngono ndio mtaji wake, atadanga mpaka ngozi ya mwili inapauka.

Mwanamke huyohuyo masikini atazaa tutoto vingi sababu ya kupenda ngono.

Sasa usiombe mwanaume masikini akutane na kibinti cha shule yaani chapu mimba inanasia mazima.

Kwa upande wa wale matajirii wao mara nyingi wapo bize kusaka pesa, yaani wao ni bize haswa hawawazi ngono.

Matajiri bana wao wengi wao ngono wanaifanya kama ziada tu, yaani kujistarehesha sio ngono njaa.

Mawazo ya matajiri huwaza namna ya kufanikisha mipango yao ya kifedha, ndio maana wao kimoja tu wanalala.

Wengi wao walio matajiri akili zao huwa zinachoka, hivyo uchovu na ngono no vitu viwili tofauti kabisa.

Tajiri anaoa mke mzuri ila kumtimitizia haja zake za kingono hawezi, mke anatafuta masikini ampoze.

Ajabu ni kuwa tajiri hujiepulia pisi Kali lakini hawawezi kuzifikisha mlimani kwakuwa vichwa vinawaza pesa inapatikanaje.

Tajiri ngono imemshinda, yeye na pesa zake tu ngono ni ya msikini
 
😂😂😂ila neno ngono limekaa kivibaya vibaya. Sema kufanya mapenzi bhana.

Hivi mtu anayekuwa busy na kazi anakosa hata muda wa kuwaza sex na kupeana utamu huyo unamtambuaje kama tajiri?? Huyo bado ni mpambanaji.

Matajiri wanapenda kutiana, wanakodi boat 🛥️ wananunua hata wanawake 20 wanazini tu juu ya bahari huko hawana wasiwasi kabisa. Yaani matajiri mwanamke mmoja hatoshi wanataka 10+
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kautafiti kangu kasiko rasmi nilikofanya mi mwenyewe ni kuwa masikini anapenda sana ngono kuliko tajiri.

Masikini anapenda sana ngono kwakuwa muda mwingi amekuwa hana la kufanya yaani anakuwa yupoyupo tu.

Mara nyingi masikini anakuwa amepumzika hivyo mwili wake unakuwa na hamu ya ngono mara kwa mara.

Masikini wakati mwingi anakuwa hana mawazo mengi sana, mara nyingi hasumbui ubongo wake.

Huyu masikini anapenda ngono pia sababu huitumia kama faraja yaani anakuwa anajiburudisha maana hana pesa.

Hivyo huona kama sasa sina pesa, bora nijiburudishe na ngono, na huifanya sana sio kitoto yaani mnaelewa.

Kiumbe hiki masikini kinapenda sana mechi kali yaani ndio maana wake za matajiri wanakuwa wanakisaka sana.

Ukiangalia vijana wa kiume masikini ndio huwa na majimama na wanayapa mavituzi mpaka mashangazi yanachanganyikiwa.

Masikini ndio wanaongoza kwa kuzaa, yaani kiumbe hiki kikipiga tu goli lazima kifunge pamoja nakuwa halina pesa.

Mwanaume akiwa masikini ndo balaa na nusu yaani anawaza ngono Ile mbaya, akijifungia niapunyeto deile.

Ukikutana na mwanamke masikini basi ngono ndio mtaji wake, atadanga mpaka ngozi ya mwili inapauka.

Mwanamke huyohuyo masikini atazaa tutoto vingi sababu ya kupenda ngono.

Sasa usiombe mwanaume masikini akutane na kibinti cha shule yaani chapu mimba inanasia mazima.

Kwa upande wa wale matajirii wao mara nyingi wapo bize kusaka pesa, yaani wao ni bize haswa hawawazi ngono.

Matajiri bana wao wengi wao ngono wanaifanya kama ziada tu, yaani kujistarehesha sio ngono njaa.

Mawazo ya matajiri huwaza namna ya kufanikisha mipango yao ya kifedha, ndio maana wao kimoja tu wanalala.

Wengi wao walio matajiri akili zao huwa zinachoka, hivyo uchovu na ngono no vitu viwili tofauti kabisa.

Tajiri anaoa mke mzuri ila kumtimitizia haja zake za kingono hawezi, mke anatafuta masikini ampoze.

Ajabu ni kuwa tajiri hujiepulia pisi Kali lakini hawawezi kuzifikisha mlimani kwakuwa vichwa vinawaza pesa inapatikanaje.

Tajiri ngono imemshinda, yeye na pesa zake tu ngono ni ya msikini
Ni vizuri kila mtu akipenda rasilimali na starehe zake zilizo ndani ya uwezo wake.
Wewe unadhani masikini tutaweza kupeleka au hata sisi wenyewe kwenda mbugani au kwenda dinner nights?
 
😂😂😂ila neno ngono limekaa kivibaya vibaya. Sema kufanya mapenzi bhana.

Hivi mtu anayekuwa busy na kazi anakosa hata muda wa kuwaza sex na kupeana utamu huyo unamtambuaje kama tajiri?? Huyo bado ni mpambanaji.

Matajiri wanapenda kutiana, wanakodi boat 🛥️ wananunua hata wanawake 20 wanazini tu juu ya bahari huko hawana wasiwasi kabisa. Yaani matajiri mwanamke mmoja hatoshi wanataka 10+
Labda matajiri kwa ufisadi,au hela za manyoka,na sio tajiri mpambanaji mpambanaji huwa bize na pesa kuliko ngono
 
Matajiri Wanaamini Masikini Ni Mtu Mwenye Muda Mwingi Amekaa Na Kubweteka Hivyo Basi Kupelekea Kuwa Mvivu.

Ila Ukweli Ni Kwamba Hao Watu (Masikini) Wanaongoza Kwa Upambanaji Haswa Tena Anaweza Kuwa Mtu Ambaye Apumziki Kabisa Ila Kipato Hapatacho Hakikidhi Mahitaji Na Hapo Ndio Inaingia Ile Theory Ya "Poverty Circle" Inaelezea Namna Jamii Zenye Hali Duni (Umasikini) Zinavyombana Na Umasikini.

Ukisema Masikini Anapata Muda Mwingi Hivyo Kupelekea Kuwaza Ngono Muda Wote, Swali Huo Muda Anaupata Wapi Maana Wengi Wanapambana Kujikwamua Kutoka Kwenye Umasikini.

Mimi Naweza Kusema Sex Inaweza Kuwa Ndio Starehe Apatayo Binadamu Bila Kujali Ni Tajiri Au Masikini.
 
Matajiri Wanaamini Masikini Ni Mtu Mwenye Muda Mwingi Amekaa Na Kubweteka Hivyo Basi Kupelekea Kuwa Mvivu.

Ila Ukweli Ni Kwamba Hao Watu (Masikini) Wanaongoza Kwa Upambanaji Haswa Tena Anaweza Kuwa Mtu Ambaye Apumziki Kabisa Ila Kipato Hapatacho Hakikidhi Mahitaji Na Hapo Ndio Inaingia Ile Theory Ya "Poverty Circle" Inaelezea Namna Jamii Zenye Hali Duni (Umasikini) Zinavyombana Na Umasikini.

Ukisema Masikini Anapata Muda Mwingi Hivyo Kupelekea Kuwaza Ngono Muda Wote, Swali Huo Muda Anaupata Wapi Maana Wengi Wanapambana Kujikwamua Kutoka Kwenye Umasikini.

Mimi Naweza Kusema Sex Inaweza Kuwa Ndio Starehe Apatayo Binadamu Bila Kujali Ni Tajiri Au Masikini.
Ooh I lyk ur comment!
 
Matajiri Wanaamini Masikini Ni Mtu Mwenye Muda Mwingi Amekaa Na Kubweteka Hivyo Basi Kupelekea Kuwa Mvivu.

Ila Ukweli Ni Kwamba Hao Watu (Masikini) Wanaongoza Kwa Upambanaji Haswa Tena Anaweza Kuwa Mtu Ambaye Apumziki Kabisa Ila Kipato Hapatacho Hakikidhi Mahitaji Na Hapo Ndio Inaingia Ile Theory Ya "Poverty Circle" Inaelezea Namna Jamii Zenye Hali Duni (Umasikini) Zinavyombana Na Umasikini.

Ukisema Masikini Anapata Muda Mwingi Hivyo Kupelekea Kuwaza Ngono Muda Wote, Swali Huo Muda Anaupata Wapi Maana Wengi Wanapambana Kujikwamua Kutoka Kwenye Umasikini.

Mimi Naweza Kusema Sex Inaweza Kuwa Ndio Starehe Apatayo Binadamu Bila Kujali Ni Tajiri Au Masikini.
Nondo tupu mkuu
 
Back
Top Bottom