mwacheni77
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 763
- 209
Unafikili na ww utakuwa na sifa unazozitaja na huyo mwenzio unayemuhitaji ataendana na ww,usiolozeshe sifa unazozihitaji alafu ww huna sifa zitakazomvutia unayemuhitaji,ushauri tafuta mgomba au mdori ndio suluhu kwako