Rafiki wa kike wa mume wangu ananitesa

Rafiki wa kike wa mume wangu ananitesa

Kwa kweli utamu unogile, i've never been happier than that time katika mahusiano. Ila ujue nini espy huyo mwana ndio alikuwa soulmate wako bila shaka. Sema mmekutana in a wrong time but ndio hivyo, inakuwaga tamu balaa. Pole kwa fumanizi na nadhani hao mabwana urafiki ulifia hapo!
Hahahaaaa!!! Hatukufumaniwa walaaa, baadae sana ndio alikuja gundua kuwa tuliachana sababu ya rafiki yake baada ya kugundua tuna mahusiano. Urafiki kweli ulikufa🙈🙈🙈
 
Mwanaume mwenye akili huiheshimu DAIMA ndoa yake hata kama ana mapungufu!
 
Kama ulijua jamaa ana rafiki wa kike walieshibana na wewe huwezi vumilia kwa nini ulinhia katikati yao, bila shaka ulikuwa na nia ovu ya kuutenganisha uhusiano wao baada ya ndo. Sasa wamekushtukia mama ndio maana wanakudharau.

Ushauri wa bure ndoa sio kila kitu kama mkosi ulishatoa, na kama huwezi vumilia achana nao usonge mbele kwa nini ujitese otherwise vumilia mpka siku ukiwabamna wamevuka mstari.

Mimi naamini kuna mabest wa kweli me na ke bil kuleta mbwembwe nyingine
 
Hakuna uongo unadumu..uache muda utakwambka kila kitu,,ukilazimisha hutafaham ukweli zaidi ya kujiumiza
Cha msingi Fanya kama u don't care...but tazama mwisho ..


,..............................................................
UKIITAJI VITU USED NA VIPYA
-Aina zote kwa bei. "NAFUU".. ni PM
Kuna[emoji979] Vitanda,Makabati,Magodoro,Laptops,Cameras,Majiko,Mazurka,TV,Showcases Nk
................................,.................................
 
Nimechogundua kupitia Maelezo yako ni.
1. Mume wake bado ni mtoto wa kifikra, hajui maana ya ndoa na maana ya kuwa mume wa mtu.

2. Huenda wewe sio chaguo la mume wako, huenda alikuoa kwa kulazimishwa eidha na mazingira au watu wanaomzunguka.
 
Na hii ndio tabia inayonifanya nifanyege ziara za ghafla kwenye simu ya bebe!

😂😂😂😂😂😂😂
Unachokitafuta utakipata.

Nashukuru hakujua mapema maana sijui ingekuwaje. Aligundua baada ya kuachana na bado alileta shida balaa. Alinichukia sana, nilijaribu kumuelewesha hakuelewa. Ila with time basi tu ilibidi aelewe.
 
Huyu asijiloge kumzalia na ukute mume hampendi au Ali force ndoa. Pole yake ningekuwa mimi ninge mpa achague moja. Anaye mpenda ahamie kwake
Mua haujawahi kuwa mkongojo nabukadumu. Kilichopo hapo hao ni washikaji with benefits, wanatiana trust me. Ila wamekubaliana kuwa haina future. Wewe hata upandishe mashetani vip inaonekana huna ubavu ndio maana hawakuogopi. Unachoweza fanya....kama hujazaa mweleze wazi kuwa huna furaha na kinacho endelea na kama unaweza tishia kuomba taraka uone atasemaje. Ukiona hajali omba kweli kwa kumaanisha. Tunaishi mara moja pekee, utapata vidonda vya tumbo bule ukufe bila sababu
 
Hahahaaaa!!! Hatukufumaniwa walaaa, baadae sana ndio alikuja gundua kuwa tuliachana sababu ya rafiki yake baada ya kugundua tuna mahusiano. Urafiki kweli ulikufa🙈🙈🙈
Hahah na hii ndio inanifanya nisiache kuamini kuwa mwanamke haachani na dume mpaka awe ameona mahala pa zuri pa kuegemea mkikataana na kama utachelewesha process lazma akufanyie ukatili sana. Najua ulimtesa sana braza before hajakupa nyekundu!
 
Tena upo chuo tafuta braza men mmoja hapo mtambulishe kwa Mr den mzoeshe awe anakuja hom kula anakupigia simu mpaka saa 6 usiku asubuh chikwilii anakutafuta cm kibao sms kama zote, huone ya yy atachukuliaje hamka ww mali yaliwaaa.
Huu ndio ushaur wa kuchukua muache yeye aennde akakushitaki cww
 
😂😂😂😂😂😂😂
Unachokitafuta utakipata.

Nashukuru hakujua mapema maana sijui ingekuwaje. Aligundua baada ya kuachana na bado alileta shida balaa. Alinichukia sana, nilijaribu kumuelewesha hakuelewa. Ila with time basi tu ilibidi aelewe.
Wacha nikipate tu nijue kama naoa mke wa mtu mapema.
 
Hahah na hii ndio inanifanya nisiache kuamini kuwa mwanamke haachani na dume mpaka awe ameona mahala pa zuri pa ikuegemea mkikataana na kama utachelewesha process lazma akufanyie ukatili sana. Najua ulimtesa sana braza before hajakupa nyekundu!
Hamna sio lazima awe amepata pa kuegemea. Mfano sasa mimi huwa namuacha mtu pale ninapoona anakuwa deep na kuanza kuongelea masuala ya ndoa wakati mimi sipo huko kabisa. Hivyo namuacha akapate mtu sahihi.

Sikumtesa bwana, tuliachana gently tu, ila baadae baada ya kugundua ni rafiki yake ndio chanzo ndio akaanza vurugu mechi.
 
Ni kweli uko chuo?
Mbona akili yako ndogo hivi?
Umekosa heshima kwa mmeo kiasi hiki?
Una kasoro gani?

Huyo mmeo naye ni kilaza, kila kitu kina kiasi, watu tuna marafiki kweli lkn twafanya mambo kiasi.
Haifai kumdharau mpenzi kwa kiasi hicho ni hatari kwa afya ya mapenzi na hata yaweza kuleta msiba.

Mwambie mmeo kuwa abaki na rafiki yako wewe endelea na hamsini zako uone reactioñ
Atafanya Kosa kubwa sana, inaonekana bimdada anajua kazi yake ni kuwa mke tu, kumbe unapaswa kufanya mahisiano yake na mmewe kuwa zaid ya mke,


ila huyu hii story kaangalia ile seres ya BLACKISH tena seson 2 ep 14 ndo kaileta hapa!!! Alichoelezea ndio kilicho oneshwa humo!! Sema anakipaji cha kutwist story!!!

Mwezie kwenye iyo movie alijifunza wapi amekosea!!
 
Hamna sio lazima awe amepata pa kuegemea. Mfano sasa mimi huwa namuacha mtu pale ninapoona anakuwa deep na kuanza kuongelea masuala ya ndoa wakati mimi sipo huko kabisa. Hivyo namuacha akapate mtu sahihi.

Sikumtesa bwana, tuliachana gently tu, ila baadae baada ya kugundua ni rafiki yake ndio chanzo ndio akaanza vurugu mechi.
Hahaha kwahio we ndoa hutaki, strictly freaking only!
 
Back
Top Bottom