Douta yani umepita kwenye huu uzi bila kumwaga wino..Ebu shusha manukta banaMpendwa nimekuhamu
Huyu kuna jambo Hajaliweka waziSasa kama kuna uhusiano si angeolewa huyo rafiki ambae alikuwepo kabla yako. Usikute huyo rafiki ndie alie weka Ok wewe kuolewa, hivi wewe na mumeo huwa mnatext mara ngapi kwa siku? Mnapigia simu mara ngapi? Maongezi yenu yanaendana? Ukimuona mwanaume yupo kwa mwanamke mwengine ujuwe anayofanyiwa ndio mapungufu yako.
Ndukiiiii [emoji125]♂️[emoji125]♂️[emoji125]♂️
Kweli pesa ndio zifanye umfanyie mkeo makusudi na dharau za aina hiyo!! Kuna tatizo mahali.AU inawezekana binti ni hohehahe na jamaa na pesa.
Ukute ndoa haikuwa na maridhiano, anaogopa kumwambia achague moja anajua kabisa ndio kitu mume anakisubiriSijui wewe ni mwanamke wa Karine gani.
Mpaka hapo hujui nini kinaendelea.
Yaani angekuwa Ndo mume wangu mimi. Angechagua moja. Abaki na mimi au huyo rafiki yake wa kike.
Sasa hapo umeolewa au wewe ni mfanya kazi wake wa ndani??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we jamaa mbwea sanaNa wewe tafuta rafiki wa kiume na wewe uwe naye close hivyo hivyo!halafu uone na yeye atalichuliaje!
By the way mimi ni rafiki mzuri tu!
Hajanijibu au labda kajibu ila sijaona, hapa kuna tatizo mahali kwakweli. Kuna vitu haviingii akilini kabisa.Ili swali kakujibu??..kuna tatizo sehemu..Ukute binti aliforce ndoa..Ndo jamaa kaamua kumletea mapichapicha..Na unaweza kuta huyo rafiki jamaa anamuweka karibu tu kwa nia ya kumuumiza mke wake
Ndo ulichoona[emoji23] [emoji23]Unasema wewe ni binti halafu umeolewa, una maana hujawahi kuingiliwa, hata na mume aliyekuoa?
Ulitaka kusemajeKwa nn mnapenda kuweka familia in your issues Jamani...
😀😀😀😀 aliyeelewa hapa tafadhali.Kwa nn mnapenda kuweka familia in your issues Jamani...
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Nyote watatu mna matatizo makubwa.
Dah ni shida hizi lugha[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] aliyeelewa hapa tafadhali.
Sure..Ukute ye mwenyewe ndo chanzoHajanijibu au labda kajibu ila sijaona, hapa kuna tatizo mahali kwakweli. Kuna vitu haviingii akilini kabisa.