Rafiki wa kike wa mume wangu ananitesa

Rafiki wa kike wa mume wangu ananitesa

Ni kweli uko chuo?
Mbona akili yako ndogo hivi?
Umekosa heshima kwa mmeo kiasi hiki?
Una kasoro gani?

Huyo mmeo naye ni kilaza, kila kitu kina kiasi, watu tuna marafiki kweli lkn twafanya mambo kwa kiasi.
Haifai kumdharau mpenzi kwa kiasi hicho ni hatari kwa afya ya mapenzi na hata yaweza kuleta msiba.

Mwambie mmeo kuwa abaki na rafiki yako wewe endelea na hamsini zako uone reactioñ
Amemdhalilishaje mume?
 
Na yeye kuba siku akikuona ukoclose na mwanaume mwingine utaachwa. Historia yako itakuja kukuhukumu
Iko hivi..... Rafiki wa bf wangu aligeuka kuwa best friend wangu. Then ubest ukazaa feelings kali kweli kweli. Tukashindwa kujizuia, ikabidi nimuache bf niwe na rafiki yake[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
 
Hilo sakata mlilimalizaje?
Hahahaa pole dada. Umenikumbusha mie nililetewa kabisa ndani tuishi nae tena bila taarifa. Nilipotaka binti aondoke nikaambiwa ntaondoka mimi binti ndo amefika na ole wangu nimguse au kumsumbua ntajuta kuzaliwa!!!
 
kifupi umeshindwa kum-handle mumeo. Sasa ushauri ni umuache aishi na wanayewezana naye
 
Nilimfesi binti nkamwambia asione watu wana afya zao kumbe washaungua kitambo. Sasa kabla hajawa mpana ka pazia akacheki afya yake kwanza, asione mi nafaidi pale kumbe nasubiria kifo tu. Aliondoka bila kuaga na sijui alimwambia nini bwana ake, huko mi nikashangaa mtu karudi kanipa kipigo cha haja na mitusi

sitaki ujinga mimi.
Hilo sakata mlilimalizaje?
 
Ungeelezea kwanza mahusiano yako na mumeo kidogo, mazingira yalopelekea mkaoana nk maybe mada ingeeleweka.
Hii ndoa yenu hamheshimiani kabisa.
yawezekana huyu ndo alimwibia mwenzake sasa wameamua warudiane, maana anadai ni marafiki kitambo kabla hajaolewa!

ndoa now days ni kama mtego!
 
Hukutueleza mahusiano yenu na Mr yakoje. Kitandani unapewa haki yako nzima?? Kuna siku kishawahi kumtaja jina lake akiwa juu yako?? Yawezekana ulianza kuonesha wivu na ulinzi shirikishi kwa mumeo kwa sababu ya kukosa kujiamini.
Kwa kuwa umeshamgombeza huyu dada ningekupa ushauri mzuuri kujua ka anakuibia au la. Lakini mbembeleze Mr. kuwa, ungeomba siku moja mfanye 3sum. Umwambie afanye mipango amlete huyo rafikiye aje home halafu myafanye nyote pamoja. Kama ni falla wake, nakuhakikishia kuwa Mr atakuwa tiyari. Jifanye huna shida yoyote ili akilileta hapo home yakiisha kuvua nguo uyamalize kwa shoka.
 
Na wewe tafuta rafiki wa kiume na wewe uwe naye close hivyo hivyo!halafu uone na yeye atalichuliaje!

By the way mimi ni rafiki mzuri tu!
Aisee Dada kama unataka usiendelee kuteseka chukuwa huu ushauri tena wew toa hadi papuchi
 
Hahaha
Alikuwa Na urafiki kabla ata ajafunga ndoa Na wewe . Utamchagulia mpaka lini mumeo marafiki ... Lipiza Basi nayeye aumie si 50/50 .. mpe limbwata awe zuzu Na akiwa zuzu yeye Na kizazi chake watoto wenu watakuwa masikini mbwa milele amini ... Dai talaka Basi ...ko kama nimefunga ndoa Na ww nisiambatane Na rafiki zangu ... Kunywa sumu Basi ...jichome kisu Basi
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa mikasa ya watu humu leo na mimi nikaona nilete jambo langu linalonitesa kwa muda mrefu ili nijue nini cha kufanya. Mimi ni binti niko ndani ya ndoa, wakati naolewa mume wangu alikua na rafiki yake wa kike ambaye wenyewe wanadai urafiki wao ni wa kawaida tu kwani wanajuana muda mrefu. sasa tatizo huu urafiki wao umekuwa kero kwangu yani ni ule urafiki uliopitiliza kiasi kwamba kilasiku nikiangalia kwenye cm ya Mr lazima nikute wamewasiliana hata mara 50 text ndo usiseme. Kila sehemu wanaenda wote na huyo binti yani kama kumbikumbi mimi niko chuo wakati mwingine nikiwa chuo nikirudi hom namkuta huyo binti na Mr sebuleni inamaana ana courage ya kuja kwangu mimi nikiwa sipo, mara nyingine weekend tuko nyumbani na Mr, binti anampigia Mr cm njoo nyumbani kwangu ule nimepika, mume naye kilasiku lazima aripoti nyumbani kwa binti, mara binti aje nyumbani kumpitia Mr amsindikize sehemu, wakati mwingine tumelala weekend asubuh saa 1 binti kapiga cm kwa mr unafanya nini amka twende kwa fulani {mshikaji wao} yani full tafrani hana adabu kabisa ila nilichogundua ni kua mr nae ndo anampa ujeuri coz kuna kipindi niligombana sana na huyu binti kuhusu tabia zake huwezi amini alinijibu kuwa mimi siwezi kuwatenganisha kamwe nikitaka nimwambie mume wangu ndio ampige yeye marufuku kua na ukaribu nae ila sio mimi. Jamani cm wanapigiana mpaka saa 6 usiku. wenyew wanadai wao ni marafiki wa kawaida tu na hakuna kinachoendelea. nimejaribu kuuvunja urafiki huo unaoniumiza nimeshindwa mimi wenyewe hawana hata habari. Je kuna urafiki wa aina hii kweli kati ya mwanamke na mwanaume tena mume wa mtu? kwanini kusiwe na mipaka jamani..Huyo mwanamke ni mjeuri hatari ukimwambia anakujibu kwa dharau sana, mume naye ndo kwanza hana habari nisaidieni jamani nifanyaje?
Huna mume hapo jipange na maisha mapya achana nae hakufai
 
Back
Top Bottom