Rafiki wa CHADEMA Uganda ashindwa uchaguzi

Hatimaye uchaguzi wa Uganda umekwisha na Mh. Rais Museveni kutangazwa mshindi kwa 68%, na kumuacha mbali mshindani wake Ndg. Besigye kwa kupata 26%. Ndg. Besigye ni rafiki mkubwa wa CHADEMA na Dkt. Slaa , ambae pia kwa uchaguzi mkuu wa Tanzania uliopita alishindwa vibaya na Dkt. Kikwete.

Hili ni pigo kubwa kwa CHADEMA kwani inawakumbushia machungu ya wao kushindwa kwenye uchaguzi uliopita na hivyo basi vilio na majonzi vimewakumba tena wafuasi na wanachama wa CDM.

Craapp!!!!

Shirikisha ubongo wewe
 
JF inapoteza mvuto wake wa awali kwa kuruhusu wapuuzi wasio na idadi kuchangia utumbo wao. Imejaa mipasho kama wale wa vidole juu. Nahisi niko katika wrong forum
 
Iko wazi na inajulikana urafiki wa Besigye na Slaa, sasa hapo cha ajabu nini? Poleni sana CDM kwa msiba mwingine huo

Msiba wako mwenyewe ambaye unashabikia usichokijua wala kisichokusaidia...mpiga debe lini kama mmiliki? CCM ina wenyewe na wewe unapiga debe tu...wala hujali ideology yake hata kama ina-affect mama yako au baba yako au mwanao...au kizazi kijacho, au hata wewe mwenyewe...a blind follower will always end up in a pit together with those he follows... If you are creative enough, you will be thinking on how to bring a better future for yourself and for your fellow Tanzanians na si kukaa kutafuta umbea huko na huko...wake up, work, and be creative....
 
JF inapoteza mvuto wake wa awali kwa kuruhusu wapuuzi wasio na idadi kuchangia utumbo wao. Imejaa mipasho kama wale wa vidole juu. Nahisi niko katika wrong forum

I think so too; maana posts nyingi zinatia kichefuchefu....sasa kama hii post inatusaidia nini sis watanzania tunaohangaika na umeme, umaskini, corruption and the like...kweli sio kwamba nchi yetu ina watu ambao kwa kweli hawaoni hata few centimeters in front of them...sasa tunaweza kweli kuona mbali kwa jinsi hii? Kama watu ni washabiki wa njaa tu? I pity ourselves....
 
Leo baada ya Besigye kushindwa mnamkana wakati ni swahiba wenu wa karibu ? hii yaonyesha wananchi walio wengi bado hawajawakubali wapinzani kuchukua dola

Hivi shida hapa ni nini? Kushindwa kwa Besigye au ni urafiki wake na Slaa? Kama ni kushindwa kwa Besigye au upinzani huko Uganda kama unavyotaka kusema; mbona huzungumzii KANU ilipopigwa mweleka huko Kenya. Nani asiyejua jinsi ambavyo wakati huo Capt komba alivyokwenda na timu yake huko Kenya lakini wakapigwa chini. Kingine kinachoonekana katika ushindi wa Mseveni ni hasa kushindwa kwake kama ambavyo JK aliporomoka. Ushindi wa 68% kwa raisi aliyeko madarakani akiwa na nguvu zote za dola si wa kujivunia. Na hivyo ndivyo alivyoporomoka JK hadi 61%.
 
Msiba wako mwenyewe ambaye unashabikia usichokijua wala kisichokusaidia...mpiga debe lini kama mmiliki? CCM ina wenyewe na wewe unapiga debe tu...wala hujali ideology yake hata kama ina-affect mama yako au baba yako au mwanao...au kizazi kijacho, au hata wewe mwenyewe...a blind follower will always end up in a pit together with those he follows... If you are creative enough, you will be thinking on how to bring a better future for yourself and for your fellow Tanzanians na si kukaa kutafuta umbea huko na huko...wake up, work, and be creative....

mkuu..kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa huyu si mwenzetu ..si mtanzania ... ndio wale wale wa kujitoa muhanga hawa
 
Huko siyo kushindwa ni kuporwa. Maana siku moja kabla ya uchaguzi, Museveni nilimkariri kwenye luninga ya Al-jazeera kwenye Idhaa ya Kiingereza akisema, "huyo anayesema kupinga ushindi wangu dawa yake ni kumuweka gerezani tu ama mahakamani". Hiyo ni siku kabla ya uchaguzi. Sasa matokeo kwenye mazingira hayo utasema ushindi ama kushindwa? Hakukuwa na uchaguzi, bali kulikuwa na taratibu za kumtangaza Museveni kuendelea kuwa madarakani.
 
Sioni kama kuna hoja katika maelezo yako. bwana Kizza ameshindwa uchaguzi na Mseven ameshinda.Hii haina impact kwa CHADEMA,kwa sababu ilani ya kizza Besigye kama ilikuwa nzuri,basi ni pigo kwa Waganda na si Chadema.
 
Sioni kama kuna hoja katika maelezo yako. bwana Kizza ameshindwa uchaguzi na Mseven ameshinda.Hii haina impact kwa CHADEMA,kwa sababu ilani ya kizza Besigye kama ilikuwa nzuri,basi ni pigo kwa Waganda na si Chadema.

Sera zile zile za CHADEMA ambazo watanzania walizikataa mkaenda kumpa Besigye azipeleke uganda, hatimaye waganda nao wamezikataa. Hii yaonyesha kabisa sera za CDM zilikuwa si za kutekelezeka, ni za kibubusa zaidi
 
Huko siyo kushindwa ni kuporwa. Maana siku moja kabla ya uchaguzi, Museveni nilimkariri kwenye luninga ya Al-jazeera kwenye Idhaa ya Kiingereza akisema, "huyo anayesema kupinga ushindi wangu dawa yake ni kumuweka gerezani tu ama mahakamani". Hiyo ni siku kabla ya uchaguzi. Sasa matokeo kwenye mazingira hayo utasema ushindi ama kushindwa? Hakukuwa na uchaguzi, bali kulikuwa na taratibu za kumtangaza Museveni kuendelea kuwa madarakani.

Kama jinsi watanzania walivyo amua kwenye uchaguzi huru na wa haki kuwa mwaga CDM, ndivyo ilivyotokea uganda, kulikuwa hakuna hila yoyote ni kwamba demokrasia ya wengi imechukua mkondo wake mkuu
 
Hivi shida hapa ni nini? Kushindwa kwa Besigye au ni urafiki wake na Slaa? Kama ni kushindwa kwa Besigye au upinzani huko Uganda kama unavyotaka kusema; mbona huzungumzii KANU ilipopigwa mweleka huko Kenya. Nani asiyejua jinsi ambavyo wakati huo Capt komba alivyokwenda na timu yake huko Kenya lakini wakapigwa chini. Kingine kinachoonekana katika ushindi wa Mseveni ni hasa kushindwa kwake kama ambavyo JK aliporomoka. Ushindi wa 68% kwa raisi aliyeko madarakani akiwa na nguvu zote za dola si wa kujivunia. Na hivyo ndivyo alivyoporomoka JK hadi 61%.

Hoja hapa ni kuwa , sera mlizompa Besigye azipeleke uganda hazikubaliki, na hii yaonyesha sera za CDM sio makini ni za kufikirika zaidi kuliko utendaji
 
JF inapoteza mvuto wake wa awali kwa kuruhusu wapuuzi wasio na idadi kuchangia utumbo wao. Imejaa mipasho kama wale wa vidole juu. Nahisi niko katika wrong forum

Hapa hakuna utumbo wowote ni mtazamo wako tu , na hii yaonyesha jinsi ambavyo usivyotaka kuchanganua mambo
 
Marafiki wa CCM.....

340x.jpg
0436341d26c3410fcf7499626c04_grande.jpg


Hawa Wanajeshi kutawala, kidogokidogo tutawasahau..... Vibaka Wakubwa.

2+%5B1%5D.jpg
 
Back
Top Bottom