Rafiki wa CHADEMA Uganda ashindwa uchaguzi

Chadema hawawezi kuwatengezea ilani watu wa Uganda,sio rahisi kama unavyofikiria wewe. Urafiki wa kisiasa hauna maana ya kuingilia mambo ya ndani ya chama au nchi fulani.Lakini kitu kimoja dhahiri,chama cha siasa kinaweza kuazima au kuiba sera fulani kutoka kwenye chama kingine,kama akina Kizza Besegye waliazima sera kutoka CDM,wakiamini zitawafaa waganga haina maana kuwa hii itageuka kuwa pigo kwa CDM.Ni pigo kwa Waganda,kwa kuwa wamekosa fursa ya kupata maendeleo kutoka na sera mbadala.
Kumbuka,hapa Tanzania,sera za CDM,katika ilani ya uchaguzi wa mwaka jana hata kama hatukushinda urais na kupata Wabunge wengi kuliko CCM,ni sera ambazo zinakubalika kwa kiasi kikubwa na watanzania walio wengi.Kwa kutumia sera hizo,CDM imepata wabunge wengi zaidi kutoka wabunge kumi na mmoja katika uchaguzi wa mwaka 2005 hadi wabunge takribani hamsini katika uchaguzi wa mwaka jana ni mafanikio makubwa.
Bado sera na ilani ya CDM ina inflluence mpaka leo.CCM katika ilani hawakuzungumzia kuhusu katiba,wala JK ktk hotuba yake bungeni hakugusia lolote kuhusu katiba. Lakini CDM katika ilani yao waliweka kipaumbele swala la katiba mpya.Leo hii watanzania wote wanazungumzia katiba mpya akiwepo JK.
Nikukumbushe kitu kimoja cha msingi,urafiki wa vyama vya siasa unatokana na itikadi na falsafa na mahusiano ya kisiasa tu,swala la utaifa na uzalendo linabaki palepale.Huwezi kusema kwa kuwa akina Bhesigye wameshindwa huko uganda,basi CDM wanaumia. Kinachowaumiza CDM,ni kutokuwepo kwa katiba mpya hapa Tanzania Chini ya ccm,kukithiri kwa ufisadi na mafisadi ndan ya serikali ya CCM,Uwizi wa wa kimafia kupitia makampuni ya Dowanisiii,Uchakachuaji wa matokeo ya uchaguz.
 
Chadema hawawezi kuwatengezea ilani watu wa Uganda,sio rahisi kama unavyofikiria wewe. Urafiki wa kisiasa hauna maana ya kuingilia mambo ya ndani ya chama au nchi fulani.Lakini kitu kimoja dhahiri,chama cha siasa kinaweza kuazima au kuiba sera fulani kutoka kwenye chama kingine,kama akina Kizza Besegye waliazima sera kutoka CDM,wakiamini zitawafaa waganga haina maana kuwa hii itageuka kuwa pigo kwa CDM.Ni pigo kwa Waganda,kwa kuwa wamekosa fursa ya kupata maendeleo kutoka na sera mbadala.
Kumbuka,hapa Tanzania,sera za CDM,katika ilani ya uchaguzi wa mwaka jana hata kama hatukushinda urais na kupata Wabunge wengi kuliko CCM,ni sera ambazo zinakubalika kwa kiasi kikubwa na watanzania walio wengi.Kwa kutumia sera hizo,CDM imepata wabunge wengi zaidi kutoka wabunge kumi na mmoja katika uchaguzi wa mwaka 2005 hadi wabunge takribani hamsini katika uchaguzi wa mwaka jana ni mafanikio makubwa.
Bado sera na ilani ya CDM ina inflluence mpaka leo.CCM katika ilani hawakuzungumzia kuhusu katiba,wala JK ktk hotuba yake bungeni hakugusia lolote kuhusu katiba. Lakini CDM katika ilani yao waliweka kipaumbele swala la katiba mpya.Leo hii watanzania wote wanazungumzia katiba mpya akiwepo JK.
Nikukumbushe kitu kimoja cha msingi,urafiki wa vyama vya siasa unatokana na itikadi na falsafa na mahusiano ya kisiasa tu,swala la utaifa na uzalendo linabaki palepale.Huwezi kusema kwa kuwa akina Bhesigye wameshindwa huko uganda,basi CDM wanaumia. Kinachowaumiza CDM,ni kutokuwepo kwa katiba mpya hapa Tanzania Chini ya ccm,kukithiri kwa ufisadi na mafisadi ndan ya serikali ya CCM,Uwizi wa wa kimafia kupitia makampuni ya Dowanisiii,Uchakachuaji wa matokeo ya uchaguz.

Kwanza karibu JF, Join Date : 13th February 2011
Posts : 3
Thanks 0 Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0

Hayo uliyoongea sio mapya hapa JF una lingine jipya ?
 
Huna kazi za kufanya? au umevizia bosi hayupo ofisini ukaanza kutumia computer yake na kuacha kazi yako ya kumwagilia maua ya huyo mhindi

Kumbe wakuja, angalia hii :Join Date : 2nd February 2011
Posts : 18
Thanks 0 Thanked 3 Times in 3 Posts

Rep Power : 0
 
Hapo kwenye red ni sawa? maana CDM wana version ya Dr. W.Slaa 64% hebu hakikisha kwanza kisha tuambie maana bado msimamo wa CDM ni Slaa 64% kwa hiyo there is no way JK akawa na 61% maana kina Lipumba, Peter Mziray, Dovutwa wanashare yao ya kura!

CDM hawana data mpaka leo, hii yadhihirisha wazi kabisa kuwa walishindwa kuhalali uchaguzi
 
Hatimaye uchaguzi wa Uganda umekwisha na Mh. Rais Museveni kutangazwa mshindi kwa 68%, na kumuacha mbali mshindani wake Ndg. Besigye kwa kupata 26%. Ndg. Besigye ni rafiki mkubwa wa CHADEMA na Dkt. Slaa , ambae pia kwa uchaguzi mkuu wa Tanzania uliopita alishindwa vibaya na Dkt. Kikwete.

Hili ni pigo kubwa kwa CHADEMA kwani inawakumbushia machungu ya wao kushindwa kwenye uchaguzi uliopita na hivyo basi vilio na majonzi vimewakumba tena wafuasi na wanachama wa CDM.

Uganda is not a democtratic country just like Tanzania and Egypt. unaweza kuamini ktk uchaguzi uliopita misri, Husein Mubarack aliyengolewa juzi juzi na wananchi alishinda kwa asilimia zaidi 90, kwahiyo unaweza kuona kuwa chaguzi zetu africa do not real reflect the will of the people. Mubarack kama alivyo kikwete ni marais lakini kwa mabavu. peoples power iliyomuondoa Mubarack ndio hiyo hiyo itakayomuondoa JK. ktk siku mia za kwanza baada ya uchaguzi hakuna jipya analolifanya zaidi ya kutuletea kinyaa kinachoitwa DOWANS ndio zawadi yake kwetu.
 
Acha kupost ujinga kwenye hii forum........................................wapo wasomi na akili zao...nenda katume huko Radio Uhuru na kwingineko.......
 
Back
Top Bottom