TASMANIA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 656
- 723
Ni mwezi wa tatu sasa, siko poa na matatizo mengi yananiandama. Nimeenda kwa babu kuangalia akanipa full image. Best angu ndo ananimaliza. Jamaa tumejuana yapata mwaka sasa. Nimempeleka mpaka kwa bimkubwa, home kwangu anakuja all the time. Misosi tunakula pamoja, job kwangu anakuja mpaka staff wenzangu wanamjua.
Gari langu namwachia siku nzima, nikiwa kazini funguo nampa. Hela ndogo ndogo nampa. Kumbe jamaa anannipiga misumari.
Babu kanishauri nimpe makavu live. Mimi naogopa atanidhuru zaidi ya hapa.
Je nifanyeje??
Wife nimemwambia kashalianzisha bifu hawaongei.
Na katika kutafuta ukweli jamaa ameanza kujishtukia. Maana siku hizi simpi gari, akipiga sim sipokei, akituma SMS sijibu. Jana katuma SMS anasema" Mbona hupokei sim unanikwepa, au tuna ugomvi?"
Ushauri wenu.....
Gari langu namwachia siku nzima, nikiwa kazini funguo nampa. Hela ndogo ndogo nampa. Kumbe jamaa anannipiga misumari.
Babu kanishauri nimpe makavu live. Mimi naogopa atanidhuru zaidi ya hapa.
Je nifanyeje??
Wife nimemwambia kashalianzisha bifu hawaongei.
Na katika kutafuta ukweli jamaa ameanza kujishtukia. Maana siku hizi simpi gari, akipiga sim sipokei, akituma SMS sijibu. Jana katuma SMS anasema" Mbona hupokei sim unanikwepa, au tuna ugomvi?"
Ushauri wenu.....