Rafiki angu ananiroga

Rafiki angu ananiroga

Dunia ya leo (karne ya 21) kwenda kwa mganga wa kienyeji ni jambo la kusikitisha sana.

NJOO KWA YESU UUPOKEE UHURU WAKO.
 
Ni mwezi wa tatu sasa, siko poa na matatizo mengi yananiandama. Nimeenda kwa babu kuangalia akanipa full image. Best angu ndo ananimaliza. Jamaa tumejuana yapata mwaka sasa. Nimempeleka mpaka kwa bimkubwa, home kwangu anakuja all the time. Misosi tunakula pamoja, job kwangu anakuja mpaka staff wenzangu wanamjua.

Gari langu namwachia siku nzima, nikiwa kazini funguo nampa. Hela ndogo ndogo nampa. Kumbe jamaa anannipiga misumari.

Babu kanishauri nimpe makavu live. Mimi naogopa atanidhuru zaidi ya hapa. Je nifanyeje??
Wife nimemwambia kashalianzisha bifu hawaongei.

Na katika kutafuta ukweli jamaa ameanza kujishtukia. Maana Sikh hizi simpi gari, akipiga sim sipokei, akituma SMS sijibu. Jana katuma SMS anasema" Mbona hupokei sim unanikwepa, au tuna ugomvi?"

Ushauri wadau
Usiamini sana mambo ya kishirikina, cha msingi mchunguze kama ni rafiki wa kweli au ni mnafiki, kama ni mnafiki tupa kule
 
Duh. Hayo mambo karne hii, mh bongo bado sana.
 
Wewe achana na mambo ya waganga wa kienyeji. Tegemea Mungu zaidi, naamini huyo rafiki yako hakurogi bali unajishutukia tu
 
Ni mwezi wa tatu sasa, siko poa na matatizo mengi yananiandama. Nimeenda kwa babu kuangalia akanipa full image. Best angu ndo ananimaliza. Jamaa tumejuana yapata mwaka sasa. Nimempeleka mpaka kwa bimkubwa, home kwangu anakuja all the time. Misosi tunakula pamoja, job kwangu anakuja mpaka staff wenzangu wanamjua.

Gari langu namwachia siku nzima, nikiwa kazini funguo nampa. Hela ndogo ndogo nampa. Kumbe jamaa anannipiga misumari.

Babu kanishauri nimpe makavu live. Mimi naogopa atanidhuru zaidi ya hapa. Je nifanyeje??
Wife nimemwambia kashalianzisha bifu hawaongei.

Na katika kutafuta ukweli jamaa ameanza kujishtukia. Maana Sikh hizi simpi gari, akipiga sim sipokei, akituma SMS sijibu. Jana katuma SMS anasema" Mbona hupokei sim unanikwepa, au tuna ugomvi?"

Ushauri wadau
ndugu huyo babu atakukosesha marafiki muhimu siajabu babu anahisika na mateso yako.........CHANGANYA NA ZAKO
 
We achana na mambo hayo ndugu utavunja urafiki naye mambo yabaki vile vile ukirudi atakwambia mkeo ana gundu hawa waganga siyo kabisa.
Kusema anajshtukia ni hali mtu yoyote angejishtukia maana anaona kabisa umechange towards him ndiyo maana anajishtukia.
There is always rising and falling, life is like ocean waves siyo kila mambo yakienda kombo usake mchawi mbona yakiwa vizuri husaki aliyekubariki?
kweli kabisa, yalipokuwa mazuri hakutafuta alieyanyoosha sasa yameharibika anatafuta mchawi. Rafiki yake anampa hadi gari sasa akiyaharibu si hata rafiki atakosa.
 
Njoo pm kwa msaada zaidi wa kupona na kuondoa mikosi
 
Ni mwezi wa tatu sasa, siko poa na matatizo mengi yananiandama. Nimeenda kwa babu kuangalia akanipa full image. Best angu ndo ananimaliza. Jamaa tumejuana yapata mwaka sasa. Nimempeleka mpaka kwa bimkubwa, home kwangu anakuja all the time. Misosi tunakula pamoja, job kwangu anakuja mpaka staff wenzangu wanamjua.

Gari langu namwachia siku nzima, nikiwa kazini funguo nampa. Hela ndogo ndogo nampa. Kumbe jamaa anannipiga misumari.

Babu kanishauri nimpe makavu live. Mimi naogopa atanidhuru zaidi ya hapa.
Je nifanyeje??
Wife nimemwambia kashalianzisha bifu hawaongei.

Na katika kutafuta ukweli jamaa ameanza kujishtukia. Maana siku hizi simpi gari, akipiga sim sipokei, akituma SMS sijibu. Jana katuma SMS anasema" Mbona hupokei sim unanikwepa, au tuna ugomvi?"

Ushauri wenu.....
Siamini waganga aisee ni waongo kwa hali ya juu/ anaangalia jambo gani litakalokupa tension kubwa akikwambia! then anakwambia hilohilo
 
Ulienda kwa yule Mganga wa OFM ya Shigongo?

Kunywa maji rafiki yangu bado kombola la pili
 
Hivi karne hii kuna watu wanaenda kwa waganga??? Mungu akuhurumie na TUBU umrudie usipomrudia Mungu wako hakika UTAKUFA!
 
Ni mwezi wa tatu sasa, siko poa na matatizo mengi yananiandama. Nimeenda kwa babu kuangalia akanipa full image. Best angu ndo ananimaliza. Jamaa tumejuana yapata mwaka sasa. Nimempeleka mpaka kwa bimkubwa, home kwangu anakuja all the time. Misosi tunakula pamoja, job kwangu anakuja mpaka staff wenzangu wanamjua.

Gari langu namwachia siku nzima, nikiwa kazini funguo nampa. Hela ndogo ndogo nampa. Kumbe jamaa anannipiga misumari.

Babu kanishauri nimpe makavu live. Mimi naogopa atanidhuru zaidi ya hapa.
Je nifanyeje??
Wife nimemwambia kashalianzisha bifu hawaongei.

Na katika kutafuta ukweli jamaa ameanza kujishtukia. Maana siku hizi simpi gari, akipiga sim sipokei, akituma SMS sijibu. Jana katuma SMS anasema" Mbona hupokei sim unanikwepa, au tuna ugomvi?"

Ushauri wenu.....
Ulivyoanza kusimulia "...gari unamuazima na hela ndogondogo unampa..." nilijua hujaoa unaishi maisha ya kisela. Aisee! Jitambue rafiki kitu gani jenga familia mfanye mkeo rafiki namba moja.
 
Nawewe si umroge.....mwambie mganga amroge......jino kwa jino
 
Ni mwezi wa tatu sasa, siko poa na matatizo mengi yananiandama. Nimeenda kwa babu kuangalia akanipa full image. Best angu ndo ananimaliza. Jamaa tumejuana yapata mwaka sasa. Nimempeleka mpaka kwa bimkubwa, home kwangu anakuja all the time. Misosi tunakula pamoja, job kwangu anakuja mpaka staff wenzangu wanamjua.

Gari langu namwachia siku nzima, nikiwa kazini funguo nampa. Hela ndogo ndogo nampa. Kumbe jamaa anannipiga misumari.

Babu kanishauri nimpe makavu live. Mimi naogopa atanidhuru zaidi ya hapa.
Je nifanyeje??
Wife nimemwambia kashalianzisha bifu hawaongei.

Na katika kutafuta ukweli jamaa ameanza kujishtukia. Maana siku hizi simpi gari, akipiga sim sipokei, akituma SMS sijibu. Jana katuma SMS anasema" Mbona hupokei sim unanikwepa, au tuna ugomvi?"

Ushauri wenu.....
Mkuu njia sahihi ni kusali tu, vinginevyo next atakuambia mama ndio anakuloga
We achana na mambo hayo ndugu utavunja urafiki naye mambo yabaki vile vile ukirudi atakwambia mkeo ana gundu hawa waganga siyo kabisa.
Kusema anajshtukia ni hali mtu yoyote angejishtukia maana anaona kabisa umechange towards him ndiyo maana anajishtukia.
There is always rising and falling, life is like ocean waves siyo kila mambo yakienda kombo usake mchawi mbona yakiwa vizuri husaki aliyekubariki?
 
Uchumi wangu unaujua? Katika yote hayo umeona chakula tu?
Nampa pesa, najaza gari petrol nampa funguo yoote hukuyaona??

Unaonekana mroho sana wewe

Kwangu chakula sio kitu wala magari pesa kwangu vitu vya kawaida sana.

Ata wewe ukitaka chakula njoo ule
Acha kutufanya watoto wadogo humu, toka lini mtu mwenye pesa akajisifu? Tena unajisifia kwa watu usiowajua!!

Hapa JF mtu anasifiwa kwa mchango wake wa kushare knowledge yake tu,huo uwezo wako (kama ni kweli) itakusaidia wewe tu na familia yako.
 
Acha kutufanya watoto wadogo humu, toka lini mtu mwenye pesa akajisifu? Tena unajisifia kwa watu usiowajua!!

Hapa JF mtu anasifiwa kwa mchango wake wa kushare knowledge yake tu,huo uwezo wako (kama ni kweli) itakusaidia wewe tu na familia yako.
Kwani Mimi nimejisifu? We unanijua Mimi. Anyway hakuna tatizo
 
Back
Top Bottom