Kwahiyo baada ya kukupeleka kwa waganga na wewe umeamua kuwa member.Binafsi sikuwa nawajua waganga,
Yeye jamaa ndio alinipeleka. Na mbaya zaidi alikuwa akinipeleka kwa waganga kumbe feki wanapanga mambo yao naenda naliwa hela. Imagine unaenda kwa mganga anataja mpaka ofisi unayofanyia kazi he huoni kama ni mchezo. Na cha ajabu jamaa ni MTU wa waganga sana sasa inafika kipindi ananifanyia vitu badae anakuja anaropoka vyote.
Sasa wewe unao uchumi gani wa maana kama mpaka chakula anachokula rafiki yako home unakichukulia kama fadhila?Tunatofautiana uchumi na matumizi
karogwa sasa akienda hosp si ataambiwa hana chochote?Kwa akili hizi Tanzania tuna safari ndefu ya kusonga katika nchi ya kusadikia ya viwanda.
Kapimwe akili mkuu huenda una matatizo ya kisaikolojia.
sasa kwanini na wewe hujamloga mpaka sasa?Ni mwezi wa tatu sasa, siko poa na matatizo mengi yananiandama. Nimeenda kwa babu kuangalia akanipa full image. Best angu ndo ananimaliza. Jamaa tumejuana yapata mwaka sasa. Nimempeleka mpaka kwa bimkubwa, home kwangu anakuja all the time. Misosi tunakula pamoja, job kwangu anakuja mpaka staff wenzangu wanamjua.
Gari langu namwachia siku nzima, nikiwa kazini funguo nampa. Hela ndogo ndogo nampa. Kumbe jamaa anannipiga misumari.
Babu kanishauri nimpe makavu live. Mimi naogopa atanidhuru zaidi ya hapa. Je nifanyeje??
Wife nimemwambia kashalianzisha bifu hawaongei.
Na katika kutafuta ukweli jamaa ameanza kujishtukia. Maana Sikh hizi simpi gari, akipiga sim sipokei, akituma SMS sijibu. Jana katuma SMS anasema" Mbona hupokei sim unanikwepa, au tuna ugomvi?"
Ushauri wadau
Nashukuru kwa ushauri, sitaki tena waganga. Kampani yake nayo siitaki.Kwahiyo baada ya kukupeleka kwa waganga na wewe umeamua kuwa member.
Vunja urafiki naye na achana na mambo ya waganga kuna ndugu yangu alikuwa anaamini uganga wakala pesa yake hata tatizo la uzembe wake anakimbilia huko.
Akaambiwa bibi yake ndiye anamroga baada ya muda akaambiwa sijui mkewe mara sijui nani alikuja kushtuka baada ya kuambiwa mama yake anamroga.
Hapo ndipo akili ilimkaa ila alikuwa ashaliwa pesa nyingu na miaka mingi akiamini hawa watu.
Ni wachonganishi sana kaa nao mbali
Hiyo ni option nzuri mkuuNashukuru kwa ushauri, sitaki tena waganga. Kampani yake nayo siitaki.
Anapiga sim sana mpaka missed call 12. Sipokei wala SMS simjibu.
Anabadilisha mpaka namba nimeshtuka sipokei namba ngeni.
Amezoea ukitonga wake anakufa njaa sasa. Jamaa nilikuwa namsaidia sana, hela ya kula nilikuwa nampa, funguo ya gari nampa. Kuna siku nilimlipia mpaka guest house akaenda kupumzika na rafiki ake.
Sasa anaisoma namba
Uchumi wangu unaujua? Katika yote hayo umeona chakula tu?Sasa wewe unao uchumi gani wa maana kama mpaka chakula anachokula rafiki yako home unakichukulia kama fadhila?
Hiyo ni indicator tosha ya ufukara uliotukuka wa roho na mwili Mungu akusaidie sana.
Peleka ulofa huko TASAF wamekusahau unakuja kulialia hapa JF.Uchumi wangu unaujua? Katika yote hayo umeona chakula tu?
Nampa pesa, najaza gari petrol nampa funguo yoote hukuyaona??
Unaonekana mroho sana wewe
Kwangu chakula sio kitu wala magari pesa kwangu vitu vya kawaida sana.
Ata wewe ukitaka chakula njoo ule
Hizo ndizo ramli chonganishi ambazo serikali inajitahidi kuzipiga vita. Acha kuwaamini saana hao waganga wako tafadhali kuna siku watakuambia mkeo au mama yako ndio wanakuroga sijui utafanyaje!?!?!?Ni mwezi wa tatu sasa, siko poa na matatizo mengi yananiandama. Nimeenda kwa babu kuangalia akanipa full image. Best angu ndo ananimaliza. Jamaa tumejuana yapata mwaka sasa. Nimempeleka mpaka kwa bimkubwa, home kwangu anakuja all the time. Misosi tunakula pamoja, job kwangu anakuja mpaka staff wenzangu wanamjua.
Gari langu namwachia siku nzima, nikiwa kazini funguo nampa. Hela ndogo ndogo nampa. Kumbe jamaa anannipiga misumari.
Babu kanishauri nimpe makavu live. Mimi naogopa atanidhuru zaidi ya hapa. Je nifanyeje??
Wife nimemwambia kashalianzisha bifu hawaongei.
Na katika kutafuta ukweli jamaa ameanza kujishtukia. Maana Sikh hizi simpi gari, akipiga sim sipokei, akituma SMS sijibu. Jana katuma SMS anasema" Mbona hupokei sim unanikwepa, au tuna ugomvi?"
Ushauri wadau