Alaaa...kumbe!Binafsi sikuwa nawajua waganga,
Yeye jamaa ndio alinipeleka. Na mbaya zaidi alikuwa akinipeleka kwa waganga kumbe feki wanapanga mambo yao naenda naliwa hela. Imagine unaenda kwa mganga anataja mpaka ofisi unayofanyia kazi he huoni kama ni mchezo. Na cha ajabu jamaa ni MTU wa waganga sana sasa inafika kipindi ananifanyia vitu badae anakuja anaropoka vyote.
miss chagga nasikiaga na nyie munalogaga waume zenu ili wawe mazuzu alafu mjitwalie Mali eti kweli?Umejiloga mwenyewe mkuu Acha mganga akule pesa.. Acha ushirikina maisha nI kupanda n kushuka achana na fikra potofu .. mrudieni Mungu
Mkuu hapana hakuna maisha magumu kama kuishi na zuzu..miss chagga nasikiaga na nyie munalogaga waume zenu ili wawe mazuzu alafu mjitwalie Mali eti kweli?
Poa mkuu niombee nishinde vita hiiMkuu..
Ushirikina Upo..
Hilo mi sina Doubt nalo..
Ila tunatofautiana tu njia ya kukabiliana nao.. kwa sababu za kiimani
Wengine Humtumia Mwenyezi Mungu
Wengine Humtumia
Miungu yao
Wewe umechagua kutumia Nguvu za giza
Basi nakushauri kulingana na uchaguzi wako..
Pambana na tatizo lako bila kurudirudi nyuma
Ukianzisha vita hakikisha unaimaliza
Maana hapo umeshachokoza tayari mapambano dhidi ya rafiki yako
Hata yeye pia ameshatambua kuwa mpo katika vita..
PAMBANA SANA..
Ndio maana mnawaua kabisa?Mkuu hapana hakuna maisha magumu kama kuishi na zuzu..
Hii ni topic nyingine me sipoNdio maana mnawaua kabisa?
Inaonyesha umelelewa katika mazingira ya ushirikina na uchawi, hutakaa umwanini yeyoteUsimwambie chochote kwa sababu huna uthibitisho ila mkwepe kaa naye mbali mtu mbaya hawezi kutoka mbali ni uyo uyo rafiki yako.
huna lolote tak***o we, unaleta sifa hapa kua ulikua unampa Gari mara ooh kula kwako,mara mumlipia gest, huu upuuzi tu hapa, mbona kipindi cha KUMSAIDIA hukumuanika, me binafsi naona wewe ndie mchawi mwenyewe wa maisha yako.tuondolee harufu ya uvungu hapaNashukuru kwa ushauri, sitaki tena waganga. Kampani yake nayo siitaki.
Anapiga sim sana mpaka missed call 12. Sipokei wala SMS simjibu.
Anabadilisha mpaka namba nimeshtuka sipokei namba ngeni.
Amezoea ukitonga wake anakufa njaa sasa. Jamaa nilikuwa namsaidia sana, hela ya kula nilikuwa nampa, funguo ya gari nampa. Kuna siku nilimlipia mpaka guest house akaenda kupumzika na rafiki ake.
Sasa anaisoma namba
Natamani nikutukane ila basi tu. Kiufupi kwa waganga utamaliza hela, waongo wa hovyo haoNi mwezi wa tatu sasa, siko poa na matatizo mengi yananiandama. Nimeenda kwa babu kuangalia akanipa full image. Best angu ndo ananimaliza. Jamaa tumejuana yapata mwaka sasa. Nimempeleka mpaka kwa bimkubwa, home kwangu anakuja all the time. Misosi tunakula pamoja, job kwangu anakuja mpaka staff wenzangu wanamjua.
Gari langu namwachia siku nzima, nikiwa kazini funguo nampa. Hela ndogo ndogo nampa. Kumbe jamaa anannipiga misumari.
Babu kanishauri nimpe makavu live. Mimi naogopa atanidhuru zaidi ya hapa. Je nifanyeje??
Wife nimemwambia kashalianzisha bifu hawaongei.
Na katika kutafuta ukweli jamaa ameanza kujishtukia. Maana Sikh hizi simpi gari, akipiga sim sipokei, akituma SMS sijibu. Jana katuma SMS anasema" Mbona hupokei sim unanikwepa, au tuna ugomvi?"
Ushauri wadau
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Kwa akili hizi Tanzania tuna safari ndefu ya kusonga katika nchi ya kusadikia ya viwanda.
Kapimwe akili mkuu huenda una matatizo ya kisaikolojia.