Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 3,906
- 3,827
Watu waache bange zao wasikilize story za kitapeliMbona huku mikoa ya kanda maalum hatuwapati?
Watu waache bange zao wasikilize story za kitapeliMbona huku mikoa ya kanda maalum hatuwapati?
Dawa yake inachemka Mungu hapendi ujingaNa uchungaji na uaskofu alisomea wapi? Hata sauti yake redioni inaonyesha ni mgonjwa.
Wivu tupuBora hao star TV wanalikipindi fulani la wanafunzi wanaonyesha wanakatika humo yani michezo mingine tabu tupu.. mwanafunzi unamuwekea bongo fleva mbele ya kamera anaanza kukatika TCRA hivi hamuonagi hilo likipindi halina maudhui mazuri kwa jamii hususani hao wanafunzi wanakata miuno tu!
Hata kama ni michezo wawe wanaangalia na chakuonyesha mbele ya kamera mengine hayafai wale ni wanafunzi na sio wanenguaji.
Mkuu usisahau ile fruto inayouzwa pale eti ni damu ya Yesu na yale maji chumvi na mafuta ..wife wangu aliwahi kwenda uko akapeleka shati langu eti niache pombe. .nilichokifanya nikukanyagia mpaka mwisho wese kama lote mwenye akajizimia fegi
shetani ni roho hana mwili ana malaika zake/pepo wacha/roho chafu nazo hazilali kwa kuwa hazina miili.hv Shetani mmoja ndiye anafanya mishe mishe dunia nzima na hachoki au halali ?
kama ana wasaidizi wake anawaamrisha cha kufanya akiwa wapi ?
Hivi na wao wanauza fruto, Maji chumbi na mafutaMkuu usisahau ile fruto inayouzwa pale eti ni damu ya Yesu na yale maji chumvi na mafuta ..wife wangu aliwahi kwenda uko akapeleka shati langu eti niache pombe. .nilichokifanya nikukanyagia mpaka mwisho wese kama lote mwenye akajizimia fegi
Umesahau na zile cd unazoambiwa nunua nyingi uwezavyo uweke kila chumba Mungu atafanya miujiza 😂😂😂😂 zimejaa ndani hatariKwasasahivi hawamtumikii Mungu tena
Juzi walisema kuwa wana sadaka za getini na za ndani ya ukumbi na wataweka wanazoita ''Sanduku la Agano'' huko
Kweli haya ni maneno sahihi?
Wanauza mpaka maji, Fruto, vitambaa na kalamu eti wanasema kalamu ni za Israel na zina upako tofauti na kalamu za Tanzania.
SAFINA RADIO SASA MNATIA AIBU, MNAMWAIBISHA YESU KRISTO.
Ndio biashara, kuna kalamu pia, handkerchief na cd kipind flan walikua nazoHivi na wao wanauza fruto, Maji chumbi na mafuta
Asante.Ninamuamini aliyemuumba mimi na wewe na yesu (pbuh) sipo. Ninamshukuru sana Mungu alienitoa nilipokua na kuniongoza kwenye njia sahihi na zaidi naomba aniongoze mimi wewe na wengine wote kwenye njia ya wale anayowaridhia na wala sio wale aliowakasirikia..
Audhubillah, ametakasika mno kuliko chchote na hana mwana.
Sina shaka na uwepo wa Mungu, na zaidi ni upendo tu ndio maana najiombea mimi na wewe na wengine Mola mlezi wa mbingu na ardhi atuongoze ktk yale yanayomridhisha., atukumbushe pia kumuomba, kumtaja na kumtegemea na kumuabudu yeye pekee bila kumshirikisha na kitu chochote.Asante.
Kwenye hio njia sahihi uliyopo basi usiwe na shaka Mungu Yupo hukohuko, ila kuhusu wokovu waachie walio kwa Mungu kupitia njia ya Yesu Kristo.
Amina sana, Endelea kuniombea mara kwa mara maana Mungu huwasikiliza na Kuwajibu wanaomtii yeye.Sina shaka na uwepo wa Mungu, na zaidi ni upendo tu ndio maana najiombea mimi na wewe na wengine Mola mlezi wa mbingu na ardhi atuongoze ktk yale yanayomridhisha., atukumbushe pia kumuomba, kumtaja na kumtegemea na kumuabudu yeye pekee bila kumshirikisha na kitu chochote.
Uwe na jioni njema
Umelazimishwa?Maombi tumeanza saa tano usiku hadi sasa hivi yanaendelea na ni kila siku.
Sasa hivi ndio mkurugenzi mkuu Daniel Lema kaingia na maombi mengine.
Hapa shetani lazima aombe poo!
Hongereni watu wa Arusha.
Kwa maombi haya huwa mnalala kweli? Tupeane uzoefu.
Watu wengi waliopiga simu na tatizo la ulevi kwa wanafamilia na magonjwa mbalimbali.
AseeeWewe huwezi kumzuia mwanamke kwenda kusali ataenda tu
Mimi nilimuona siku moja wife kwenye tv ya mchungaji moja uko kawe anamshukuru Mungu kwa kumaliza ujenzi nikanyamaza tu
Hizi comment za huku wajameniHahahahaha umenikbusha fruto mtoto wa mamdogo ilikua ni full kudilute kuna siku akadilute mpka ule weusi umeisha maana bibi.kazi kumwaga mlangoni, ukija kwenye chumvi sasa kuna saa zinamwagwa kitandani mpka ukilala kitandani unajihisi umelala bichi hahahah
Kwani safina wanaemdaga nyumbani kwa watuWale mimi siwaamini hata kdg maana wamekuja sana pale nyumbani, bibj kila siku kuwaekea mafuta kwenye magari yao waje wafanye maombi home lkn usanii mtupu
Siku nimeamini hawana lolote ilikua hivi nimemtumia mtoto wa mamdgo picha nimevaa baibui na nipo na mtoto na nimejitanda mtandio mweusi sasa bibi alikua hajamuona mtoto wangu kwa muda kwa sababu sikua nnimeenda arusha kama 3 yrs, yule mtoto wa mdg akamuonesh bibi ile pic ya mimi na mtoto basi bibi kamind kwa nini nimevaa kiislam lkn kamaind kimy kimya suluhisho ikawa ampigie huyo bariki wa safina kamuelezea alivoona pic yangu na muonekano nliokua nao,. Few months later nikaenda arusha , kma kawaida kawaekea mafuta kuja hom mimi nipo rum nasikia wanaongea baadae naitwa nimsalimie bariki, akaanza propaganda kaoneshwa na roho mtakatifu usiku wa jana yake nimevaa baibui na makorokoro kibao yasiyo na maana basi anahitji aniombee roho chafu sijui inayo niandama itoke, mimi nikamwambia i worship the true God ambae sio mpka nipitie wewe ndo anisafishe , binafsi nikimwita namwona kweny maisha yangu tena kwa ukubwa mno, akendeleza tararira zake pale baada ya kuona hana hoja akasema tumshukuru Mungu, nikaona mambo yasiwe mengi akaomba hata dakika mbili hazikuisha ila kama sio nilikaza nahisi angenieke mapepo yeye maana anakuona we mchafu ye msafi
nimecheka hapo pakuonyeshwa na Mungu huwa wanacheza na saikolojia tu, hafu wanapenda waumini wanaotoa sana sadaka ka Bibi yako anavo wawekea mafuta lazima wawe wanakuja tena wanaweza mtabiria kuwa analogwa sana wawe wanakuja kumuombea daily, Kuna sehemu flani ya pastor bonge anapenda kuhubiria sana wadada single Ili waolewe Sasa huyo dada alikuwa hapati mimba akamtabiria kuwa huko tumboni Kuna chatu ndio anazuia mimba, dada alipiga ukunga akadondoka chini kwa nguvu na kuumia
asee pembe ya ng'ombe au ndovuYale mafuta kwenye upembe Bado yapo
Kwamba miaka ya 2006 ulikuwepo kuanzisha safina. Ikawaje mpendwa.. Enzi za kina Neemaa Makae Philemon RupiaHahaha, haya matisho ndio huwa mnawapa wanawake na wengine wadhaifu wa kiroho ili mpate pesa zao.
Mimi nilihusika kuanzisha Safina Radio, nimehudumu pale for years ukitaka ushahidi utapata
Kuna mambo mengine sitaki kuyaweka wazi hapa kuhusu Daniel Lema na mama Hellen Lema kwa kuwastahi tu
Ila mkiendelea hivi nitaanza kuanika maovu yao.
Sie tunaoomba Mungu tunaomba utuache. Though hizo safina na nn sjui hatuhusiki lakini hayo mambo ya kusema probability ni kwa sababu hujui tu. Gym tunaenda na kusali tunasaliHeri uende gym ujenge mwili usife na visukari
sala ni stupid concept...huwezi poteza muda wako kumuomba mtu kitu usiemjua na anaefanya kazi kwa probability...yaani umeomba vitu kumi there is no way atatimiza vitu vyote 10 kwa rate ya 100% accuracy
ni kupotezeana muda muhimu wa reality ya maisha