Kuna kitu kinaitwa upward streamer katika radi au radi ni upward streamer?Soma Kuna kitu kinaitwa upward streamers katika radi
Upward Lightning
The most important finding about upward lightning is that it primarily occurs when there is a nearby positive cloud-to-ground flash. The electric field change caused by the preceding flash causes an upward positive leader to initiate from a tall object such as a building, tower or wind turbine. The shape of the tall object and the resulting enhancement in the electrical field makes it possible for an upward leader to form following a nearby flash. Tom and his colleagues call this lightning-triggered upward lightning, and the upward leader would not develop if the tall object were not present.
He, kumbe Muheza ni kiangazi ....!Hakuna mvua na ni Kipindi cha kiangazi na jua wakati wa mchana linakua Kali sana
Maeneo mengi ya Muheza Tanga kumepiga Radi ambayo Mimi na umri wangu wa Zaidi ya miaka 30 sijaishuhudia.
Radi hii imezua Taharuki ya kupelekea watu kukimbia hovyo barabarani na wengine kuanguka mitaroni na wengine kukimbilia kwenye majumba na maduka ya watu.
Radi hii imepiga majira ya saa mbili usiku na isitoshe huu ni msimu wa kiangazi na jua ni kali.
Wakazi wa Muheza Tanga ni Taharuki kila mtu anampigia ndugu yake simu kama yuko salama.
Tunaomba Mamlaka ya hali ya hewa watoe Taarifa kuhusu hii radi.
Huyu aishi Rukwa, Katavi na Kigoma ndo atajua radi zipoje.Hajaona radi huyu
Kwani Bado kuna mvua??Maeneo mengi ya Muheza Tanga kumepiga Radi ambayo Mimi na umri wangu wa Zaidi ya miaka 30 sijaishuhudia.
Radi hii imezua Taharuki ya kupelekea watu kukimbia hovyo barabarani na wengine kuanguka mitaroni na wengine kukimbilia kwenye majumba na maduka ya watu.
Radi hii imepiga majira ya saa mbili usiku na isitoshe huu ni msimu wa kiangazi na jua ni kali.
Wakazi wa Muheza Tanga ni Taharuki kila mtu anampigia ndugu yake simu kama yuko salama.
Tunaomba Mamlaka ya hali ya hewa watoe Taarifa kuhusu hii radi.
TMA inadili kweli na radi? unaweza predict radi?Maeneo mengi ya Muheza Tanga kumepiga Radi ambayo Mimi na umri wangu wa Zaidi ya miaka 30 sijaishuhudia.
Radi hii imezua Taharuki ya kupelekea watu kukimbia hovyo barabarani na wengine kuanguka mitaroni na wengine kukimbilia kwenye majumba na maduka ya watu.
Radi hii imepiga majira ya saa mbili usiku na isitoshe huu ni msimu wa kiangazi na jua ni kali.
Wakazi wa Muheza Tanga ni Taharuki kila mtu anampigia ndugu yake simu kama yuko salama.
Tunaomba Mamlaka ya hali ya hewa watoe Taarifa kuhusu hii radi.
Wewe ujakaa sumbawanga au lyambalya mfipa usingeongelea hako karadi kadogoMaeneo mengi ya Muheza Tanga kumepiga Radi ambayo Mimi na umri wangu wa Zaidi ya miaka 30 sijaishuhudia.
Radi hii imezua Taharuki ya kupelekea watu kukimbia hovyo barabarani na wengine kuanguka mitaroni na wengine kukimbilia kwenye majumba na maduka ya watu.
Radi hii imepiga majira ya saa mbili usiku na isitoshe huu ni msimu wa kiangazi na jua ni kali.
Wakazi wa Muheza Tanga ni Taharuki kila mtu anampigia ndugu yake simu kama yuko salama.
Tunaomba Mamlaka ya hali ya hewa watoe Taarifa kuhusu hii radi.
TMA nao ni bunadamu. Ama unadhani ni malaikaMaeneo mengi ya Muheza Tanga kumepiga Radi ambayo Mimi na umri wangu wa Zaidi ya miaka 30 sijaishuhudia.
Radi hii imezua Taharuki ya kupelekea watu kukimbia hovyo barabarani na wengine kuanguka mitaroni na wengine kukimbilia kwenye majumba na maduka ya watu.
Radi hii imepiga majira ya saa mbili usiku na isitoshe huu ni msimu wa kiangazi na jua ni kali.
Wakazi wa Muheza Tanga ni Taharuki kila mtu anampigia ndugu yake simu kama yuko salama.
Tunaomba Mamlaka ya hali ya hewa watoe Taarifa kuhusu hii radi.
Kuna mdada mmoja maeneo ya karibu na hospitali teule huwa anakula sana nauli zetu sisi mafala. Ajirekebishe.Maeneo mengi ya Muheza Tanga kumepiga Radi ambayo Mimi na umri wangu wa Zaidi ya miaka 30 sijaishuhudia.
Radi hii imezua Taharuki ya kupelekea watu kukimbia hovyo barabarani na wengine kuanguka mitaroni na wengine kukimbilia kwenye majumba na maduka ya watu.
Radi hii imepiga majira ya saa mbili usiku na isitoshe huu ni msimu wa kiangazi na jua ni kali.
Wakazi wa Muheza Tanga ni Taharuki kila mtu anampigia ndugu yake simu kama yuko salama.
Tunaomba Mamlaka ya hali ya hewa watoe Taarifa kuhusu hii radi.
Unaweza Kuta Kuna mawingu kiasi Kwa mbali lakini miungurumo ya radi inakuwa mikubwa sana.Maeneo mengi ya Muheza Tanga kumepiga Radi ambayo Mimi na umri wangu wa Zaidi ya miaka 30 sijaishuhudia.
Radi hii imezua Taharuki ya kupelekea watu kukimbia hovyo barabarani na wengine kuanguka mitaroni na wengine kukimbilia kwenye majumba na maduka ya watu.
Radi hii imepiga majira ya saa mbili usiku na isitoshe huu ni msimu wa kiangazi na jua ni kali.
Wakazi wa Muheza Tanga ni Taharuki kila mtu anampigia ndugu yake simu kama yuko salama.
Tunaomba Mamlaka ya hali ya hewa watoe Taarifa kuhusu hii radi.
Usiku uliona hakuna mawingu?Hakuna mvua na ni Kipindi cha kiangazi na jua wakati wa mchana linakua Kali sana