BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,026
- 3,940
Mkuu soma vizuri. Taarifa inasema"local people". Haizungumzii watu weusi! Maana yake ni kuwa mmatumbi asiyekuwa local ataruhusiwa. Taarifa imekuzwa pasipo sababu.
Hauwezi kuzungumzia hiki unachokiita ubaguzi bila kuzungumzia sababu ambazo zinazoweza kuwafikisha hapo.
Profiling ipo hata kama hatupendi. Naamini njia nzuri ya kukomesha tabia kama hii ni kuzisusia sehemu hizo wala si kulazimisha kuingia.
Amandla.......
....kwa hiyo wana haki ya kumzuia mmatumbi Local?? Si yale yale?? Fundi, nakuaminiaga, Lakini hapa unaniangusha mkuu...!