William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #121
Narudia tena ni aibu mtu kama wewe kuandika utumbo huu plzzzzzzzzzzzzzzzz
- Naona ni muhimu nikupotezeee! ha! ha! ha! ha! usiku mwema mkuu wangu!
MUCH RESPECT!
William.
Narudia tena ni aibu mtu kama wewe kuandika utumbo huu plzzzzzzzzzzzzzzzz
Hilo suali unapaswa kujiuliza mwenyewe. Hukufanya due diligence kabla ya kukurupuka na kumpongeza Kikwete.
- Yaaani CAG kumbe ilikuwepo toka miaka ya 70? Sasa iweje wengine tuisikie kwa mara ya kwanza majuzi aliposhika Urais Dr. Jk, I mean unasema huko nyuma hakukuwa na wizi? Then how come haikuwekwa wazi tukaiona wote kama sasa?
William.
Hilo suali unapaswa kujiuliza mwenyewe. Hukufanya due diligence kabla ya kukurupuka na kumpongeza Kikwete.
- Mkuu Jasusi, naomba kukuuliza in a serious way: CAG ilikuwepo awamu ya kwanza?
William.
William, nimesema in the 70's walikuwa wanakuja kukagua ubalozi hapa Washington. D.C. That itself should be an answer kwamba ilikuwepo. Au ulidhania Kikwete ndiye kaiweka? Ameikuta, na kuanzia mwaka 2006 alikataza ripoti zake zisitolewe hadharani, wewe unafikiria ni kwa nini? Ningemshauri Kikwete aache unafiki na harakati za kujitafutia umaarufu (cheap popularity.)- Mkuu Jasusi, naomba kukuuliza in a serious way: CAG ilikuwepo awamu ya kwanza?
William.
- Kwani CAG imekuwepo kwa muda gani? Maaana hii ni mara yangu ya pili kuisikia, mara yangu ya kwanza ilikuwa Dr. Kikwete aliposhika utawala mambo ya mabalozi walioiba, wengine wakafikishwa kwenye Sheria na wengine walilazimishwa ku-retire na kulipa walizoiba.
- Hii ni mara ya pili nawasikia tena CAG, naomba kukuuliza walianza lini hawa CAG? Mbona huko nyuma kwenye awamu zingine hatukuwahi kuwasikia?
William.
Nimegundua kuna watu mnaweka maslahi ya siasa na chama. Akifanya vizuri JK msifie tu.
Kuna kila dalili mipango ya JK ikifanikiwa CCM chati inapanda wakati huohuo CDM chati inashuka
- Kwani CAG imekuwepo kwa muda gani? Maaana hii ni mara yangu ya pili kuisikia, mara yangu ya kwanza ilikuwa Dr. Kikwete aliposhika utawala mambo ya mabalozi walioiba, wengine wakafikishwa kwenye Sheria na wengine walilazimishwa ku-retire na kulipa walizoiba.
- Hii ni mara ya pili nawasikia tena CAG, naomba kukuuliza walianza lini hawa CAG? Mbona huko nyuma kwenye awamu zingine hatukuwahi kuwasikia?
William.
"Nimefurahishwa na mjadala wa uwazi ulioendelea Bungeni na kwenye kamati ya wabunge wa CCM; nafurahi kwamba azma yangu ya kuzifanya taarifa za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali ziwe zinafanyiwa kazi imeanza kutimia" Mhe. Jakaya M. Kikwete
Acha chuki mkuu,
Kuweza wazi uovu ni one step.....
"Nimesikitishwa na kufurahishwa kwa Mhe Jakaya M. Kikwete bila ya kuchukua hatua muafaka dhidi ya watu aliowachagua na kuwapa dhamana ya kulitumikia taifa, ambao badala yake wanaliibia taifa na kutamba kuwa hawang'oki ng'o. Kwa kuwa kauli au amri ya raisi ni sheria, asifurahishwe tu wakati wananchi tunateseka, bali aamrishe na kusimamia zoezi la kurejesha fedha iliyoliwa na hawa "panya wanaotafuna noti" na baadaye kupewa adhabu wanayostahiki.""Nimefurahishwa na mjadala wa uwazi ulioendelea Bungeni na kwenye kamati ya wabunge wa CCM; nafurahi kwamba azma yangu ya kuzifanya taarifa za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali ziwe zinafanyiwa kazi imeanza kutimia" Mhe. Jakaya M. Kikwete
Ikumbukwe wahisasani ili watoe fedha wanataka uwazi huu! Ila imetusaidia kujua uozo wa serikali ya ccm!