Question- wasukuma and Love relations

Question- wasukuma and Love relations

Hawana tofauti na wahaya, wanajua kupenda sana na akikupenda anakua limbukeni wako utampeleka unavyotaka japo umalaya haachi pendapenda ovyo hadi inaboa, kwakifupi huwezi kumliki mwenyewe lazima usaidiwe
 
Am on that on to the next one part jamani ila I have a question kwa wale ambao wamehawi kudate or wanadate or wameolewa na wasukuma, is it true kwamba they are great lovers...maoni anyone, hata kwa wale ambao wameobserve tu, naombeni characteristics zao.
mke wangu ambaye amenizalia watoto wa kutosha, nilimtoa toka kwenye kabila na mkoa unaosifika kwa umalaya, nilimuoa akiwa na 25 years, lakini alikuwa bikira, mimi ndio nilimuanza. sikuamini macho yangu. tabia mbaya ni zao la rohoni sio mwilini, hata hao unaofikiri wanatoka kabila malaya Mungu akiwaponya wanaweza kuwa wazuri kupita wengine.
 
aisee mwana umeongea point sana yaani ungekuwa karib ningekupa high five
Most of human being tunatabia ya kujua value ya kitu baada ya kuondoka....ni kweli wapo wanaume/ wanawake ambao wanawatesa wapenz wao ila wanajutia sana hizo mistakes ila washachelewa.
 
wana uwezo wa kuhimili vishindo panapo 6x6 au ni wazembe hawawezi kitu
bestito hebu nipe stori kidogo juu ya hili
hehehe kongosho hamna ktu kwenye 6*6 zaid ya kusema tenga nirenge!noumer sana!nlijuta sana
 
wana uwezo wa kuhimili vishindo panapo 6x6 au ni wazembe hawawezi kitu
bestito hebu nipe stori kidogo juu ya hili

wamejaaliwa maumbo tena imara yenye nguvu problem inakuja kwenye matumizii ni shidaaa hawajui kutwangwaa vizur matokeo yake karaha na maumivu..ngoja nikuitie miss chagga anawajua vizur pia..
 
hahahahahaaaaaaaaaaaaaa bestito aiseee kumbe wako hivyo sasa hapo utapata radha gani badala ya karaha tu maana raha yandoa ndani kwenye futi 6 pawe pamejaa na kujalizwa vizuri ili kuleta matokeo mema na yenye mvuto hebu mwite shostito huyo animegee vizuri haheheheheheheheiyaaa
wamejaaliwa maumbo tena imara yenye nguvu problem inakuja kwenye matumizii ni shidaaa hawajui kutwangwaa vizur matokeo yake karaha na maumivu..ngoja nikuitie miss chagga anawajua vizur pia..
 
dear Viva89,

oleho??

surely upande wetu wa kaskazini, kuanzia wasukuma, wakurya, nk.. true love sio ya kuuliza.. huo ni wajibu wetu kupenda kwa dhati kabisa..!

Mwambie akiingia ndani HAKUNA yale mambo ya usaliti. Ukimsaliti mkurya atakugecha kbs
 
Last edited by a moderator:
Baada ya kupata mtt tegemea kusikia bwana ana mke alie lipiwa mahari kabisa,,,,,,,,
Mume akiwa msomi atafanya ki staarabu lkn akiwa ngombale mwilu huyo mke utaletewa ndani ya nyumba..
As time goes on atakuona we ni mlezi wa familia na kusimamia biashara au mashamba na mifugo so atatafutwa wa kula nae bata na kusafiri nae pia bi mdg permanent lazima awepo atakae kuwa anatambulishwa kwa rafiki na ndugu.
Inataka moyo mgumu kuvumilia hayo.
 
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mbona wanaume wote wanajua kucare ?? Ni mnyange tu ujijue na kujiposition pia kunahusika
 
Kuna watu wanafanyiwa promo hum ndani hadi inaleta kiungulia......hebu anzeni kulipia matangazo hayo wajameni
 
Am on that on to the next one part jamani ila I have a question kwa wale ambao wamehawi kudate or wanadate or wameolewa na wasukuma, is it true kwamba they are great lovers...maoni anyone, hata kwa wale ambao wameobserve tu, naombeni characteristics zao.

umpate anaejielewa lakini asiejielewa utajuta na km ni hamu yako kwenda kuishi kaskazini ni bora uende kutembea tu kuliko kutafuta kiki kwa mtu
 
tatizo la wasukuma ni moja ni WANAFIKI sana
na kuwagundua inakuwa ni ngumu mpaka uishi nao
yaani kwa kupenda sawa ila huo
UNAFIKI utawaondolea sifa yao

Hivi uliwahi kufkiri kwa nn wanaume wanaopenda sana (km wasukuma) unaweza kuwaona watabia km za kinafiki?
Jibu ni moja tu, iwapo response yako kwa upendo anaokupa utakuwa negative (kutaka kutumia mwanya wa wewe kupendwa to the maximum kwa mufaa yako zaidi badala ya manufaa ya pendo lenu), si ajabu atakuwa na mienendo flani ambayo kimsingi atafanya si kwa sababu ya unafki ila kwa kuwa hataki kuwa na rekodi yyte ya makosa ktk uhusiano wenu,
Najua umenielewa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom