Question- wasukuma and Love relations

Question- wasukuma and Love relations

Hamna cha ugreat lover wala nini,wanaume wa kisukuma ni mazoba.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Hamna cha ugreat lover wala nini,wanaume wa kisukuma ni mazoba.

Inategemea na tafsiri yako ktk mambo haya mawili,
"Been humble with honourable love na kuwa mjanja mjanja kaz kuwatumia na kuharibu mabinti za watu km wanavyoharibiwa dada zako"
Atakuwa 'zoba' iwapo anashindwa kukidhi mahtaji ya mwenzi na familia yake, vinginevyo unsongea pumba na kutumixia ubrotherman hapa
 
dear Viva89,

oleho??

surely upande wetu wa kaskazini, kuanzia wasukuma, wakurya, nk.. true love sio ya kuuliza.. huo ni wajibu wetu kupenda kwa dhati kabisa..!
Mhmhmhmhmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhh hiyo kaskazini ina wengi ujue hata kina mangi kina masawe kina kimario mushi asenga wote kaskazini ujue
 
kwani ukiandika kwa lugha moja kuna tatizo sisi wengine darasa la saba unatuacha mbali sana sio vizur
 
tatizo la wasukuma ni moja ni WANAFIKI sana
na kuwagundua inakuwa ni ngumu mpaka uishi nao
yaani kwa kupenda sawa ila huo
UNAFIKI utawaondolea sifa yao
Umesema ukweli mtupu, there you are kwakweli ww umeishi nao, mimi mwenyewe naishi usukuman na hiyo ndio sifa yao kubwa.
 
Wako vizuri kitabia na ni waelewa sana
 
Mwanza, Shinyanga, Geita, Tabora 3/4, Simiyu na kila mkoa ukienda vijijini utawakuta alomost nusu ya wakazi wa mkoa huo ni wasukuma. Hongereni kwa kuongoza tz kwa wingi mda si mrefu mtaanzisha sheria zenye mrengo wa kabila lenu na makabila mengine wafuate.
 
Wasukuma wanajua sana kupenda na ni waaminifu.

Ila akigundua una msaliti hata tu, hata uombe vipi msamaha hawaregezi kamba

Kwa kifupi ni waaminifu mno, ila wanatarajia na wewe uwe mwaminifu pia
 
Wanajukwaa!! Leo ni mara yangu ya kwanza kuchangia kwenye uzi huu, sijawai kuwa na masihara na wala sijulikani kwa sifa hiyo....ila nina jambo muhimu ambalo kwa atakayeona inamfaa na kumpendeza atanitafuta.

Kuhusiana na hili swala la kushindwa kupiga mishindo katika tendo la ndoa, ukiachana na hayo aliyoyaleta mtoa mada dawa ipo 100% reliable, dawa hii ni ya asili, inaitwa NGANZI, dawa hii ni guarantee! Inaupa uume nguvu mara kumi zaidi. Kwa aliye interested na hii kitu anicheki PM, watu kumi wa kwanza punguzo la bei kwa asilimia 10%......Bei ya hii nganzi ni fair ukilinganisha na ukubwa wa tatizo. 25k per dozi.

Mimi napatikana Dar es salaam
 
hahahahaaaaaa hii nimeona kiasi
jaribu kuwaelewa wanapendelea nini mimi kwa uzoefu wangu ni kuwa wanapenda sana kuheshimiwa hawapendi dharau ukimkera ni wakali balaa pia hawapendi kabisa kubishana na mwanamke ndivyo walivyo ukiwaheshimu watakupa kila unachotaka watakupa wanawaamini sana wake zao
 
Wasukuma wanajua sana kupenda na ni waaminifu.

Ila akigundua una msaliti hata tu, hata uombe vipi msamaha hawaregezi kamba

Kwa kifupi ni waaminifu mno, ila wanatarajia na wewe uwe mwaminifu pia
Wasukuma kwa kupenda tu nawapigia salute, ila kwa vimichepuko tu hawajambo kwa kweli
 
Most of the time she tells mi "bby you are so sweet"
Sikuwahi kujua, kumbe kuna sababu nyuma ya pazia...Shukrani zimuendee Jacobeth Elias Ng'wananogu r.i.p mom!
 
jaribu kuwaelewa wanapendelea nini mimi kwa uzoefu wangu ni kuwa wanapenda sana kuheshimiwa hawapendi dharau ukimkera ni wakali balaa pia hawapendi kabisa kubishana na mwanamke ndivyo walivyo ukiwaheshimu watakupa kila unachotaka watakupa wanawaamini sana wake zao
Naendelea kupata picha
 
Ha haa ila michepuko ni tabia ya mtu buana
Teh ila kwa wasukuma wengi Wanajitahidi mno hilo eneo (sio wote usije ukanidondokea kwa presha hapa) . Kama ambavyo tunasema wengi wao wanajua kupenda, basi wapo na ambao ni makauzu hatareee. I LOVE IS WASUKUMA
c.c atoto
 
Teh ila kwa wasukuma wengi Wanajitahidi mno hilo eneo (sio wote usije ukanidondokea kwa presha hapa) . Kama ambavyo tunasema wengi wao wanajua kupenda, basi wapo na ambao ni makauzu hatareee. I LOVE IS WASUKUMA
c.c atoto
Una bahati umesema sio wote maana ningeandamana mpaka hapo ulipo teh,

Yani nalipenda hili kabila acha tu.... Mahaba nipofushe kwa huyu msukuma wangu nisione mwingine zaidi yake lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom