Quality ya nguo za GSM na Waikiki siyo nzuri

ComputersDAR

JF-Expert Member
Jan 21, 2013
213
241
Mwaka jana mwezi wa 12 niliamua kufanya shopping ya nguo kwa watoto wangu. Nilianza na Woolworth.

Woolworth bei za nguo za watoto ni juu sana kwa kweli. Nilinunua nguo chache lkn kwa gharama kubwa. Baada ya hapo nikaamua kwenda Mlimani City.

Hapo ndipo nikagundua kumbe naweza kununua nguo nyingi na nzuri kutoka maduka ya GSM na WAIKIKI kwa gharama nafuu sna ukilinganisha na Woolworth.

Basi nikatumia pesa maduka haya mawili kwa nguo za watoto. Lakini nilichogundua baadaye ni kwamba nguo za GSM NA WAIKIKI zinapendeza kws macho ukiziona dukani tu au tuseme zikiwa mpya.

Zikishaanza kutumika zinachakaa haraka sana sababu ni nyepesi na zinachanika haraka haswa zikifuliwa.

Woolworth nguo zao ni imara ukilinganisha na GSM NA WAIKIKI lakini zina bei sana.

Jee, kuna yeyote mwenye uzoefu kama wa kwangu kuhusu ubora wa nguo zinazouzwa haya maduka?
 
1688130344174.png
 
Mwaka jana mwezi wa 12 niliamua kufanya shopping ya nguo kwa watoto wangu. Nilianza na Woolworth. Woolworth bei za nguo za watoto ni juu sana kwa kweli. Nilinunua nguo chache lkn kwa gharama kubwa. Baada ya hapo nikaamua kwenda Mlimani City. Hapo ndipo nikagundua kumbe naweza kununua nguo nyingi na nzuri kutoka maduka ya GSM na WAIKIKI kwa gharama nafuu sna ukilinganisha na Woolworth. Basi nikatumia pesa maduka haya mawili kwa nguo za watoto. Lakini nilichogundua baadaye ni kwamba nguo za GSM NA WAIKIKI zinapendeza kws macho ukiziona dukani tu au tuseme zikiwa mpya. Zikishaanza kutumika zinachakaa haraka sana sababu ni nyepesi na zinachanika haraka haswa zikifuliwa. Woolworth nguo zao ni imara ukilinganisha na GSM NA WAIKIKI lakini zina bei sana. Jee, kuna yeyote mwenye uzoefu kama wa kwangu kuhusu ubora wa nguo zinazouzwa haya maduka?
Woolworth nguo zao kweli ghali lakini quality. Niliwahi nunua nguo za mtoto kwenye maduka yao yote mawili. Gsm pia ukilinganisha na maduka mengine ya mtaani wana nguo nzuri maana mimi nilikuwa mdau wa duka lao la msasani kwa nguo zangu mwenyewe na watoto ila nina zaidi ya mika 2 sijanunua nguo kwao ila kwa kipindi nilichokuwa nanunua pale hasa viatu vya watoto na cardet zangu kwakweli sina lawama kwa kiasi cha pesa.
Cardet nilikuwa nazivaa hadi nazichoka, tshirts pia.
 
Woolworth nguo zao kweli ghali lakini quality. Niliwahi nunua nguo za mtoto kwenye maduka yao yote mawili. Gsm pia ukilinganisha na maduka mengine ya mtaani wana nguo nzuri maana mimi nilikuwa mdau wa duka lao la msasani kwa nguo zangu mwenyewe na watoto ila nina zaidi ya mika 2 sijanunua nguo kwao ila kwa kipindi nilichokuwa nanunua pale hasa viatu vya watoto na cardet zangu kwakweli sina lawama kwa kiasi cha pesa.
Cardet nilikuwa nazivaa hadi nazichoka, tshirts pia.
Kitu ambacho nimegundua ni wepesi wa kitambaa cha nguo kutoka GSM/WAIKIKI na zile za Woolworth. Nguo za Waikiki na GSM ni duni sababu zinachakaa haraka na kuchanika kutokana na wepesi wa kitambaa. Labda ununue denim lakini hizo nyingine ni majanga.
 
Wee Ni muhaya mjinga
Hapana ndio binadamu wameshakuwa programmed to be consumers yaani mtu Ana take pride and his satisfaction pale anapotumia ama kununua expensive things. Even though we're living in capitalism World somo la uwekezaji ama biashara haifundishwi na kuwekwa kwenye mioyo ya watu.yaani ukiishi under normal baseline huku ukiwekeza watu watakuongea kuwa utakufa utaziacha. Ila ukiwa una spend for liability just for external validation since I'm your inner heart you're feeling inadequacy so unajua kuwa ukiwa na iPhone ndio utakuwa binadamu wa value na unanunua ist ili uitumie kuilia mbususu kimasihara none is bothered to discourage you. Ila Sasa unabakia kupewa heshima kuwa jamaa ana hela. Ila Sasa muulize kuwa mwaka huu umepata gawio la hisa kiasi gani from NYSE,LSE, NAsdaq atakuambia mind your own business Ila Sasa msifie kuwa una demu mkali,umepiga pamba Kali wewe mjanja unajua kupigilia pamba,una gari Kali, unapendeza unanukia unyunyu mkali mpaka watt wanadata na wewe,una iPhone latest Kali ya 1500$ atajisikia kuwa yupo ya dunia yaani atatamani atembee hewani ili aonekane wa Mana.


Ndio tumekuwa programmed na wajanja wachache walioweza kujua binadamu anapenda na anataka Nini Basi umekamatwa unabakia kunywa soda zao ,gari zao na ilhali huwezi kufa kisa haunywi Ila Sasa wanatumia watu like Messi cr7 anakunywa koka so ukimuona amevaa Raba adidas na wewe unaenda kununua ili ufanane naye mesi since you're lacking something in your heart Mana unataka kufanana naye Mana ukishavaa Kama yeye automatically utajisikia Kama yeye so inakulazimu kipato chako Cha siku,week,mwezi,mwaka unanunua Mana una feel inadequacy in your heart. Sasa ukishanunua unajisikia amani Kama vile umekula mbususu uliyokuwa unaiota inakukosesha usingizi.
Sasa bana ukishanunua adiads zako kwa mihemuko ama ist unakuta ndani ya mwaka adidas hazina thamani Kama ilivyokuwa kabla hujawa nazo sawa na ist, iPhone unaiona ya kawaida hata mbususu uliyokuwa unaikeshea.
Mana haya Mambo ndio yanapigiwa kelele na media walizokujaza wakakutengenezea ili wakupigie kelele Mara nyingi mno baadaye utajikuta unafuata ya kwao wanavyotaka.

Mana wanajua how to program something to germinate and grow with deep roots in your subconscious mind and even you make a habit ya kuishi ama kununua kitu fulani.

You've been enslaved in capitalism world ya wajanja wachache Ila hujui unajiona wewe ndiye mjanja.

Why hawapigi kelele kuwa wekeza katika kampuni fulani hebu angalia trend ya kulipa dividend since 200yrs ago hebu check inavyokuwa.


Karibuni katika ulimwengu wa ubepari ambao unaona uliyopangiwa uyaone
 
f
Hapana ndio binadamu wameshakuwa programmed to be consumers yaani mtu Ana take pride and his satisfaction pale anapotumia ama kununua expensive things. Even though we're living in capitalism World somo la uwekezaji ama biashara haifundishwi na kuwekwa kwenye mioyo ya watu.yaani ukiishi under normal baseline huku ukiwekeza watu watakuongea kuwa utakufa utaziacha. Ila ukiwa una spend for liability just for external validation since I'm your inner heart you're feeling inadequacy so unajua kuwa ukiwa na iPhone ndio utakuwa binadamu wa value na unanunua ist ili uitumie kuilia mbususu kimasihara none is bothered to discourage you. Ila Sasa unabakia kupewa heshima kuwa jamaa ana hela. Ila Sasa muulize kuwa mwaka huu umepata gawio la hisa kiasi gani from NYSE,LSE, NAsdaq atakuambia mind your own business Ila Sasa msifie kuwa una demu mkali,umepiga pamba Kali wewe mjanja unajua kupigilia pamba,una gari Kali, unapendeza unanukia unyunyu mkali mpaka watt wanadata na wewe,una iPhone latest Kali ya 1500$ atajisikia kuwa yupo ya dunia yaani atatamani atembee hewani ili aonekane wa Mana.


Ndio tumekuwa programmed na wajanja wachache walioweza kujua binadamu anapenda na anataka Nini Basi umekamatwa unabakia kunywa soda zao ,gari zao na ilhali huwezi kufa kisa haunywi Ila Sasa wanatumia watu like Messi cr7 anakunywa koka so ukimuona amevaa Raba adidas na wewe unaenda kununua ili ufanane naye mesi since you're lacking something in your heart Mana unataka kufanana naye Mana ukishavaa Kama yeye automatically utajisikia Kama yeye so inakulazimu kipato chako Cha siku,week,mwezi,mwaka unanunua Mana una feel inadequacy in your heart. Sasa ukishanunua unajisikia amani Kama vile umekula mbususu uliyokuwa unaiota inakukosesha usingizi.
Sasa bana ukishanunua adiads zako kwa mihemuko ama ist unakuta ndani ya mwaka adidas hazina thamani Kama ilivyokuwa kabla hujawa nazo sawa na ist, iPhone unaiona ya kawaida hata mbususu uliyokuwa unaikeshea.
Mana haya Mambo ndio yanapigiwa kelele na media walizokujaza wakakutengenezea ili wakupigie kelele Mara nyingi mno baadaye utajikuta unafuata ya kwao wanavyotaka.

Mana wanajua how to program something to germinate and grow with deep roots in your subconscious mind and even you make a habit ya kuishi ama kununua kitu fulani.

You've been enslaved in capitalism world ya wajanja wachache Ila hujui unajiona wewe ndiye mjanja.

Why hawapigi kelele kuwa wekeza katika kampuni fulani hebu angalia trend ya kulipa dividend since 200yrs ago hebu check inavyokuwa.


Karibuni katika ulimwengu wa ubepari ambao unaona uliyopangiwa uyaone
Unaweza kuamua kurudi kijijini kwenu ukaanza kuishi off the grid kwa kulala juu ya mti au kwenye pango msituni na kujisitiri kwa kutumia magamba ya miti. Ni uamuzi wako tu mkuu
 
Back
Top Bottom