Watu wajinga hamna wanachoweza kufanya kikafanikiwa.PSSSF sijui NSSF, baada ya kurejeshewa jengo, wamelifanyia nini!?
Hawa si wana vitengo kabisa vya property management, kwanini, hawafanyi restoration na kuanza kukusanya Kodi na kurudisha pesa za wastaafu!?
Huu ni utapeli Kwa pensioners! Sawa na majengo ya Dege eco village! Wizi wizi, majengo wanaishi popo na buibui!?
Hawana uchunguz wamejawa visasi visivyo na tija!
Wanafiki sanawatanzania wenyewe walikuwa wanamlalamikia Manji alivyokuwa anatupiga kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, akaja jamaa na kuamua kusikiliza kilio cha watanzania na kumfix "gabachori", leo hii watanzania walewale wanalalama huku..
Hakupora wee pimbi manji alikuwa ni mdaiwa sugu wa pspf deni zaid more than Trillion kadhaa ulitaka wastaafu wasilipwe mafaoMwamba alimpora akawakabidhi PSSSF
Huyo Magu si ndio alimteua Salma Kikwete bila sababu za Msingi akajae tu kule bungeni kwasababu tu ana nafasi 10 za kuteua wabunge.ndio tulivyo Wabongo
Chuma alimtenga Jakaya akatukanwa
Mama hajamtenga Jakaya pia anatukanwa
FaizaFoxy njoo utie neno hapa!Hiyo mali yote Manji aliyotumia kujenga hapo alichukua kutoka NSSF enzi ya Ramadhani Dau; sina hakika kama huo mkopo ulirudishwa. Kama haukurudishwa maana yake hiyo mali iliyopo hapo inaoza ni ya wafanyakazi waliowekeza makato ya mishahara yao hapo NSSF. Wafanyakazi hawapati mafao yao kwasababu ya ufisadi kama huu uliofanywa na Ramadhani Dau na rafiki yake CAG mstaafu ASSAD wakati huo akiwa Mwenyekiti wa AUDIT committee ya board ya NSSF!
Ndiyo maana wengi wao, from 60yrs onwards ni choka mbaya!! There had been no serving, all were wasted! Wanabaki ombaomba!Watanzania mnapenda na kuendeza sana anasa wakati tunasafari ndefu sana. Whyyyyyy?
So sad
Tatizo kubwa mnoo Tanzania Ni kwamba ordinary people hawana agenda na uwezo wa kusukuma Agenda za matatizo yao hawana, kwahiyo muda wote wanaendeshwa kwa agenda za Genge dogo tu ambalo Vita yao kubwa Ni power struggle.
Serikali haikupaswa kuiacha ianguke kwa sababu hata kama ni matokeo ya wizi basi kungefanyika utaratibu wa softly payback the funds as win win approachHabarini wadau,
Nimeangalia huko kwa hii link huko you tube nikaona jinsi Quality centre ilivyo filisika kwakweli.
Vyoo ni vibovu, maduka mengi yamefungwa, jengo asilimia kubwa ni giza. Kwakweli hali ya Quality Centre Mall inasikitisha sana.
Habarini wadau,
Nimeangalia huko kwa hii link huko you tube nikaona jinsi Quality centre ilivyo filisika kwakweli.
Vyoo ni vibovu, maduka mengi yamefungwa, jengo asilimia kubwa ni giza. Kwakweli hali ya Quality Centre Mall inasikitisha sana.
Kama una uwezo wa kulifufua ichukue kama mwekezaji. Au una uzoefu wa kuajiriwa?Naomba kazi ya U managing Director wa hilo mall, Naamini naweza kulifufua hilo.
Hakuna cha UDINI hapo ni facts tu kuwa DAU na ASSAD walifanya ufisadi pale NSSF. Inashangaza kuona ASSAD inajipambanua kama mtu muadilifu huku track record yake ni chafu iliyojaa religious bigotry. Awadanganye wasiomjua.FaizaFoxy njoo utie neno hapa!
Kama una uwezo wa kulifufua ichukue kama mwekezaji. Au una uzoefu wa kuajiriwa?
Unakuwaje na maarifa bila pesa?! Haijawahi kutokea duniani. Ukiona hivo ujue ulichonacho ni maarifa hewa.Uzoefu wa kuajiriwa sina na hela ya kulikodi mimi pia sina, Ila nayaamini maarifa yangu.
Unakuwaje na maarifa bila pesa?! Haijawahi kutokea duniani. Ukiona hivo ujue ulichonacho ni maarifa hewa.
😅😅😅😅. Sasa mtu hadi anastaafu hajawahi kuendesha interprise yake badala yake anawekewa kibubu na mifuko ya pension utamwita ana maarifa? Wacha fujo chifuAcha izo mkuu, kuna watu wengi tu wana hela halafu maarifa hawana, mfano mdogo tizama wastaafu wengi yanayowakuta. Na pia wapo wenye maarifa ambao hawana hela na hilo pia tukubali.
Mkuu, hiyo safari inamuhusu mwenye Pub au huo mgahawa. So inawezekana tunamsapoti kwa kufika eneo husika na kufanya manunuziWatanzania mnapenda na kuendeza sana anasa wakati tunasafari ndefu sana. Whyyyyyy?
So sad
jengo linaloweza kuwapatia kazi mligeuze kanisa halafu mkamuombe Mungu awape kazi? 😂Wageuze liwe kanisa tuwe tunaenda kumuomba Mungu atupatie kazi