Unatakaje kwamfano....labda umalaniwa ww,sasa uchangamkie fursa ipi??? kwani ww hujui watanzania zaidi ya 80% wanaishi chini ya $ 1 na hiyo 20% ya population inayobaki ndio wenye uwezo wa kupata angalau milo 3 lakini hawawezi ku invest!. kwani hujui hao wahindi walivyofaidika kupitia utawala wa ccm toka kipindi cha Mwinyi!.
kiwanda chochote kinachojengwa au kumilikiwa na mhindi kwa Tanzania hakina manufaa yyte kwa mtanzania sana sana ni watu kupatvibarua vya kulipwa 4500 kwa siku.nashangaa hii serikali ya CCM inavyokumbatia hawa wahindi-hawa majamaa hawafai hata kwa bure
Unajua sababu ya viwanda kufa?Tunataka serikali yenyewe ijenge viwanda kama ilivyoahidi kwenye ilani yake
Kuendelea kuforce uwekezaji kwenye nchi yenye sheria zenye matundu ni kufaidisha wachache
Au ni kwa nini wawekezaji wasiwe wazawa wenye uchungu na nchi yetu?
Au badala ya kujenga viwanda vipya, kwa nini visifufuliwe kwanza vile vya muhimu tulivyoviua?
Tanzania tuna uwezo wa kutengeneza matairi ya gari na tukashindana na nchi kubwa kibiashara
Viwanda vya sukari sio kiviiiiiile kama biashara kubwa za matairi, nguo na hata viwanda vidogo vya pembejeo na zana zingine za kilimo ambacho ni uti wa mgongo wa third world countries
Japo serikali ya sasa haioni kilimo kama ni cha muhimu tena
Hon. Kassim Majaliwa, Prime Minister
meets Quality Group Limited to discuss
projects in manufacturing, e-Governance,
Health, mining and initiatives to bring
foreign investment to Tanzania. Vp kuhusu kiwanda cha kuunganisha matrekta
Alifanyaje?Usijitoe ufahamu alochoifanya mifuko ya hifadhi mchana kweupeeeee
Tatizo kuu la watanzania ni kulalamika.
"Usiulize Tanzania itakufanyia nini jiulize utaifanyia nini Tanzania"
Una kipato cha Mill 10 kwa mwaka. Kwanini usitafte wenzako 10 kwa mwaka mzima mkaandaa mpango wa jinsi ya kuendesha kiwanda kidogo kwa mtaji wa Mill 100..?
Unakuja hapa kulalamika oonh uwekezaji wazawa wapewe nafasi. Nafasi gani tunayoitaka watanzania...?
Mfumo wa serikali kuanzisha viwanda na kuviendesha ulishapitwa na wakati. Tupo kwenye ushindani wa kibiashara.
Tunalalamika sana zaidi ya sana.
Ivi kwa mtaji huo wa Million 100 mkienda kuwekeza Usangu huko katika biashara ya mchele mtashindwa kweli kuwa na kiwanda kidogo cha kuzalisha na kufunga mchele Quality.
Mbona fursa zipo nyingi. Iyo pesa ata ukiipeleka kule singida kiwanda cha kukamua na kufungasha mafuta ya kula kwenye vifungashio madhubuti inatosha.
Kulalamika kulalamika lol kiasi kwamba kuhisi neno uwekezaji katika kiwanda wewe haukuhusu.
Tujifunze kuwa watu wa kutoa njia mbadala zaidi ya kuwa walalamikaji. Unalalamika siku nzima Jf. Ukitoka hapo unaenda pia kulalamika Instagram na bado huko Fb unalalamika. Huo mda wa kuwaza ata uwekezaji mdogo utautoa wapi...?
Isaidie Tanzania yako katika kuwekeza usisubiri mwingine aje awekeze nawe uishie kulalamika.
Wewe mzawa ulitaka kuwekeza ukakataliwa?Tunataka serikali yenyewe ijenge viwanda kama ilivyoahidi kwenye ilani yake
Kuendelea kuforce uwekezaji kwenye nchi yenye sheria zenye matundu ni kufaidisha wachache
Au ni kwa nini wawekezaji wasiwe wazawa wenye uchungu na nchi yetu?
Au badala ya kujenga viwanda vipya, kwa nini visifufuliwe kwanza vile vya muhimu tulivyoviua?
Tanzania tuna uwezo wa kutengeneza matairi ya gari na tukashindana na nchi kubwa kibiashara
Viwanda vya sukari sio kiviiiiiile kama biashara kubwa za matairi, nguo na hata viwanda vidogo vya pembejeo na zana zingine za kilimo ambacho ni uti wa mgongo wa third world countries
Japo serikali ya sasa haioni kilimo kama ni cha muhimu tena
Weka picha ya hicho kiwanda kilichoanza kujengwa...
Weka picha ya hicho kiwanda kilichoanza kujengwa...
Ushasahau ya maghala ya pale ubungo mkabala ubungo plaza?Alifanyaje?
Sijasahau. Sijui. Nijuze tafadhali.Ushasahau ya maghala ya pale ubungo mkabala ubungo plaza?
Swali zuri.Gumu.Na la msingi.Wewe mzawa ulitaka kuwekeza ukakataliwa?
Huna sababu yamsingi
Basi ni shida km hata ishu wazi km hiyo hufahamu. Hao kina manji waliwauzia mifuko ya hifadhi hayo maghala kwa bei ya kutupa juu sn ya thamani yake.Sijasahau. Sijui. Nijuze tafadhali.
Basi ni shida km hata ishu wazi km hiyo hufahamu. Hao kina manji waliwauzia mifuko ya hifadhi hayo maghala kwa bei ya kutupa juu sn ya thamani yake.
Na kuna namna hao mifuko waliyauza kwa bei ndogo sana. In the process billions were made na kina Manji shoddily. Kuna kesi ilifunguliwaga sijui imeishia wapi hata.
Kwa ujumla kina manji ni wapigaji tu. Bado kuna deal la power tillers nalo alikuwamo. Ilifkia sehemu hiyo mipower tiller haiuziki hadi halmashauri zinalazmishwa kununua.
Hili la kiwanda is just another one. Tusubiri.