figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Msanii wa bongo fleva aliye kuwa anajiita q chief, sasa hivi anajiita CHICHI. Hii a.k.a yake mpya ya chichi imeleta gumzo kitaa baada ya kuonekana hilo jina la chichi linatumika kuwatambulisha mashoga. Bado hajapatika kuelezea kwanini kaamua kujiita chichi. mia